Check out the new design

Kilniojo Korano reikšmių vertimas - Suahilių k. vertimas - Ruad vertimo centras * - Vertimų turinys


Reikšmių vertimas Sūra: An-Naaziʻaat   Aja (Korano eilutė):

An-Nazi'at

وَٱلنَّٰزِعَٰتِ غَرۡقٗا
Ninaapa kwa wanaokomoa kwa nguvu.
Tafsyrai arabų kalba:
وَٱلنَّٰشِطَٰتِ نَشۡطٗا
Na kwa wanaotoa kwa upole.
Tafsyrai arabų kalba:
وَٱلسَّٰبِحَٰتِ سَبۡحٗا
Na wanaoogelea sawasawa.
Tafsyrai arabų kalba:
فَٱلسَّٰبِقَٰتِ سَبۡقٗا
Wakishindana mbio kweli kweli.
Tafsyrai arabų kalba:
فَٱلۡمُدَبِّرَٰتِ أَمۡرٗا
Wakidabiri mambo.
Tafsyrai arabų kalba:
يَوۡمَ تَرۡجُفُ ٱلرَّاجِفَةُ
Siku kitakapotetemeka cha kutetemeka.
Tafsyrai arabų kalba:
تَتۡبَعُهَا ٱلرَّادِفَةُ
Kifuate cha kufuatia.
Tafsyrai arabų kalba:
قُلُوبٞ يَوۡمَئِذٖ وَاجِفَةٌ
Siku hiyo nyoyo zitapigapiga.
Tafsyrai arabų kalba:
أَبۡصَٰرُهَا خَٰشِعَةٞ
Macho yatainama chini.
Tafsyrai arabų kalba:
يَقُولُونَ أَءِنَّا لَمَرۡدُودُونَ فِي ٱلۡحَافِرَةِ
Sasa wanasema: Ati kweli tutarudishwa kwenye hali ya kwanza?
Tafsyrai arabų kalba:
أَءِذَا كُنَّا عِظَٰمٗا نَّخِرَةٗ
Hata tukiwa mifupa iliyobunguliwa?
Tafsyrai arabų kalba:
قَالُواْ تِلۡكَ إِذٗا كَرَّةٌ خَاسِرَةٞ
Wanasema: Basi marejeo hayo ni yenye hasara!
Tafsyrai arabų kalba:
فَإِنَّمَا هِيَ زَجۡرَةٞ وَٰحِدَةٞ
Kwa hakika hayo ni ukelele mmoja tu.
Tafsyrai arabų kalba:
فَإِذَا هُم بِٱلسَّاهِرَةِ
Mara watakuwa kwenye uwanda wa mkutano!
Tafsyrai arabų kalba:
هَلۡ أَتَىٰكَ حَدِيثُ مُوسَىٰٓ
Je! Imekufikia hadithi ya Musa?
Tafsyrai arabų kalba:
إِذۡ نَادَىٰهُ رَبُّهُۥ بِٱلۡوَادِ ٱلۡمُقَدَّسِ طُوًى
Mola wake Mlezi alipo mwita katika bonde takatifu la Tuwaa, akamwambia:
Tafsyrai arabų kalba:
ٱذۡهَبۡ إِلَىٰ فِرۡعَوۡنَ إِنَّهُۥ طَغَىٰ
Nenda kwa Firauni. Hakika yeye amezidi jeuri.
Tafsyrai arabų kalba:
فَقُلۡ هَل لَّكَ إِلَىٰٓ أَن تَزَكَّىٰ
Umwambie: Je! Unapenda kujitakasa?
Tafsyrai arabų kalba:
وَأَهۡدِيَكَ إِلَىٰ رَبِّكَ فَتَخۡشَىٰ
Nami nitakuongoa ufike kwa Mola wako Mlezi, upate kumcha.
Tafsyrai arabų kalba:
فَأَرَىٰهُ ٱلۡأٓيَةَ ٱلۡكُبۡرَىٰ
Basi alimwonyesha Ishara kubwa.
Tafsyrai arabų kalba:
فَكَذَّبَ وَعَصَىٰ
akini aliikadhibisha na akaasi.
Tafsyrai arabų kalba:
ثُمَّ أَدۡبَرَ يَسۡعَىٰ
Kisha alirudi nyuma, akaingia kufanya juhudi.
Tafsyrai arabų kalba:
فَحَشَرَ فَنَادَىٰ
Akakusanya watu akanadi.
Tafsyrai arabų kalba:
فَقَالَ أَنَا۠ رَبُّكُمُ ٱلۡأَعۡلَىٰ
Akasema: Mimi ndiye Mola wenu Mlezi mkuu kabisa.
Tafsyrai arabų kalba:
فَأَخَذَهُ ٱللَّهُ نَكَالَ ٱلۡأٓخِرَةِ وَٱلۡأُولَىٰٓ
Basi hapo Mwenyezi Mungu akamshika kumuadhibu kwa la mwisho na la mwanzo.
Tafsyrai arabų kalba:
إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَعِبۡرَةٗ لِّمَن يَخۡشَىٰٓ
Kwa hakika katika haya yapo mazingatio kwa wanaoogopa.
Tafsyrai arabų kalba:
ءَأَنتُمۡ أَشَدُّ خَلۡقًا أَمِ ٱلسَّمَآءُۚ بَنَىٰهَا
Je, ni vigumu zaidi kukuumbeni nyinyi au mbingu? Yeye ndiye aliyeijenga!
Tafsyrai arabų kalba:
رَفَعَ سَمۡكَهَا فَسَوَّىٰهَا
Akainua kimo chake, na akaitengeneza vizuri.
Tafsyrai arabų kalba:
وَأَغۡطَشَ لَيۡلَهَا وَأَخۡرَجَ ضُحَىٰهَا
Na akautia giza usiku wake, na akautokeza mchana wake.
Tafsyrai arabų kalba:
وَٱلۡأَرۡضَ بَعۡدَ ذَٰلِكَ دَحَىٰهَآ
Na juu ya hivyo ameitandaza ardhi.
Tafsyrai arabų kalba:
أَخۡرَجَ مِنۡهَا مَآءَهَا وَمَرۡعَىٰهَا
Akatoa ndani yake maji yake na malisho yake.
Tafsyrai arabų kalba:
وَٱلۡجِبَالَ أَرۡسَىٰهَا
Na milima akaisimamisha imara.
Tafsyrai arabų kalba:
مَتَٰعٗا لَّكُمۡ وَلِأَنۡعَٰمِكُمۡ
Kwa nafuu yenu na mifugo yenu.
Tafsyrai arabų kalba:
فَإِذَا جَآءَتِ ٱلطَّآمَّةُ ٱلۡكُبۡرَىٰ
Basi itakapofika hiyo balaa kubwa,
Tafsyrai arabų kalba:
يَوۡمَ يَتَذَكَّرُ ٱلۡإِنسَٰنُ مَا سَعَىٰ
Siku ambayo mtu atakumbuka aliyoyafanya,
Tafsyrai arabų kalba:
وَبُرِّزَتِ ٱلۡجَحِيمُ لِمَن يَرَىٰ
Na Jahannamu itadhihirishwa kwa mwenye kuona,
Tafsyrai arabų kalba:
فَأَمَّا مَن طَغَىٰ
Basi ama yule aliyezidi ujeuri,
Tafsyrai arabų kalba:
وَءَاثَرَ ٱلۡحَيَوٰةَ ٱلدُّنۡيَا
Na akakhiari maisha ya dunia,
Tafsyrai arabų kalba:
فَإِنَّ ٱلۡجَحِيمَ هِيَ ٱلۡمَأۡوَىٰ
Kwa hakika Jahannamu ndiyo makaazi yake!
Tafsyrai arabų kalba:
وَأَمَّا مَنۡ خَافَ مَقَامَ رَبِّهِۦ وَنَهَى ٱلنَّفۡسَ عَنِ ٱلۡهَوَىٰ
Na ama yule anayeogopa kusimamishwa mbele ya Mola wake Mlezi, na akajizuilia nafsi yake na matamanio,
Tafsyrai arabų kalba:
فَإِنَّ ٱلۡجَنَّةَ هِيَ ٱلۡمَأۡوَىٰ
Basi huyo, Pepo itakuwa ndiyo makaazi yake!
Tafsyrai arabų kalba:
يَسۡـَٔلُونَكَ عَنِ ٱلسَّاعَةِ أَيَّانَ مُرۡسَىٰهَا
Wanakuuliza Saa (ya Kiyama) itakuwa lini?
Tafsyrai arabų kalba:
فِيمَ أَنتَ مِن ذِكۡرَىٰهَآ
Una nini wewe hata uitaje?
Tafsyrai arabų kalba:
إِلَىٰ رَبِّكَ مُنتَهَىٰهَآ
Kwa Mola wako Mlezi ndio mwisho wake.
Tafsyrai arabų kalba:
إِنَّمَآ أَنتَ مُنذِرُ مَن يَخۡشَىٰهَا
Kwa hakika wewe ni mwonyaji tu kwa mwenye kuihofu.
Tafsyrai arabų kalba:
كَأَنَّهُمۡ يَوۡمَ يَرَوۡنَهَا لَمۡ يَلۡبَثُوٓاْ إِلَّا عَشِيَّةً أَوۡ ضُحَىٰهَا
Ni kama kwamba wao siku watakapoiona (hiyo Saa) hawakukaa ila jioni moja tu, au mchana wake.
Tafsyrai arabų kalba:
 
Reikšmių vertimas Sūra: An-Naaziʻaat
Sūrų turinys Puslapio numeris
 
Kilniojo Korano reikšmių vertimas - Suahilių k. vertimas - Ruad vertimo centras - Vertimų turinys

Vertė Ruad vertimo centro komanda bendradarbiaujant su Religinės sklaidos ir orientavimo asociacija Rabwah bei Islamo turinio kalbos asociacija.

Uždaryti