4 : 111

وَٱمۡرَأَتُهُۥ حَمَّالَةَ ٱلۡحَطَبِ

Atauingia moto huo yeye na mke wake ambaye alikuwa akibeba miba na kuiweka kwenye njia anayopita Mtume, (rehema za Allah Mtukufu na amani zimshukie), ili kumuudhi. info
التفاسير: |
prev

Al-Masad

next
:
0:00 0:00