Përkthimi i kuptimeve të Kuranit Fisnik - الترجمة السواحلية - علي محسن البرواني * - Përmbajtja e përkthimeve

XML CSV Excel API
Please review the Terms and Policies

Përkthimi i kuptimeve Surja: Suretu El Mesed   Ajeti:

Surat Al-Masad

تَبَّتۡ يَدَآ أَبِي لَهَبٖ وَتَبَّ
Imeangamia mikono ya Abu Lahab, na yeye pia ameangamia.
Imeteketea mikono ya Abu Lahab iliyo kuwa ikiwaudhi Waislamu, na yeye mwenyewe amehiliki pia.
Tefsiret në gjuhën arabe:
مَآ أَغۡنَىٰ عَنۡهُ مَالُهُۥ وَمَا كَسَبَ
Hayatamfaa mali yake, wala alivyo vichuma.
Hayatolindwa na adhabu ya Mwenyezi Mungu mali yake aliyo kuwa nayo, wala cheo chake alicho kichuma.
Tefsiret në gjuhën arabe:
سَيَصۡلَىٰ نَارٗا ذَاتَ لَهَبٖ
Atauingia Moto wenye mwako.
Ataingia katika Moto unao waka, aungue.
Tefsiret në gjuhën arabe:
وَٱمۡرَأَتُهُۥ حَمَّالَةَ ٱلۡحَطَبِ
Na mkewe, mchukuzi wa kuni,
Na ataingia pia kwenye Moto mkewe huyo aliye kuwa akibeba masengenyo baina ya watu, kama alivyo ingia yeye (mumewe).
Tefsiret në gjuhën arabe:
فِي جِيدِهَا حَبۡلٞ مِّن مَّسَدِۭ
Shingoni mwake iko kamba iliyo sokotwa.
Juu ya shingo yake itakuwa kamba ya mtende ya kumtesa.
Tefsiret në gjuhën arabe:
 
Përkthimi i kuptimeve Surja: Suretu El Mesed
Përmbajtja e sureve Numri i faqes
 
Përkthimi i kuptimeve të Kuranit Fisnik - الترجمة السواحلية - علي محسن البرواني - Përmbajtja e përkthimeve

ترجمة معاني القرآن الكريم إلى اللغة السواحلية، ترجمها علي محسن البرواني.

Mbyll