81 : 15

وَءَاتَيۡنَٰهُمۡ ءَايَٰتِنَا فَكَانُواْ عَنۡهَا مُعۡرِضِينَ

Na tuliwapa watu wa Ṣãliḥ aya zetu zinazojulisha usahihi wa mambo ya haki ambayo amekuja nayo kwao Mtume Ṣãliḥ, na miongoni mwayo ni ngamia, wazingatie kwa aya hizo na wakawa ni wenye kujiweka mbali nazo na kuzipa mgongo. info
التفاسير: |
prev

Al-hijr

next
:
0:00 0:00