89 : 15

وَقُلۡ إِنِّيٓ أَنَا ٱلنَّذِيرُ ٱلۡمُبِينُ

Na sema, «Mimi ndiye muonyaji mwenye kuyafunua wazi yale ambayo watu wanaongokea kwayo kwenye kumuamini Allah Mtukufu Mola wa walimwengu». info
التفاسير: |
prev

Al-hijr

next
:
0:00 0:00