قرآن کریم کے معانی کا ترجمہ - سواحلی ترجمہ - عبد اللہ محمد اور ناصر خمیس

next

Al-Qalam

prev

1 : 68

نٓۚ وَٱلۡقَلَمِ وَمَا يَسۡطُرُونَ

«Nūn» Yametangulia maelezo kuhusu herufi zilizokatwakatwa na kutengwa mwanzo wa sura ya Al- Baqarah. Anaapa Allah Mtukufu kwa Kalamu ambayo kwayo Malaika na watu wanaandikia, na kwa kile wanachokiandika cha kheri, manufaa na aina za elimu. info
التفاسير: |
next

Al-Qalam

prev
:
0:00 0:00