4 : 68

وَإِنَّكَ لَعَلَىٰ خُلُقٍ عَظِيمٖ

Na hakika wewe, (ewe Mtume), uko juu kwa tabia nzuri, nazo ni zile tabia njema zilizomo kwenye Qur’ani. Kwani kuifuata Qur’ani ilikua ni sifa yake, kwani alikua akitekeleza amri zake na kukomeka na yale yanayokatazwa. info
التفاسير: |
prev

Al-Qalam

next
:
0:00 0:00