Check out the new design

《古兰经》译解 - 斯瓦希里语翻译 - 拉瓦德翻译中心。 * - 译解目录


含义的翻译 章: 哈姆宰   段:

Al-Humazah

وَيۡلٞ لِّكُلِّ هُمَزَةٖ لُّمَزَةٍ
Ole wake kila anayewakejeli watu kwa ishara na maneno.
阿拉伯语经注:
ٱلَّذِي جَمَعَ مَالٗا وَعَدَّدَهُۥ
Aliyekusanya mali na kuihesabu.
阿拉伯语经注:
يَحۡسَبُ أَنَّ مَالَهُۥٓ أَخۡلَدَهُۥ
Anadhani ya kuwa mali yake itambakisha milele!
阿拉伯语经注:
كَلَّاۖ لَيُنۢبَذَنَّ فِي ٱلۡحُطَمَةِ
Hasha! Atavurumishwa katika Hutwama.
阿拉伯语经注:
وَمَآ أَدۡرَىٰكَ مَا ٱلۡحُطَمَةُ
Na ni nini kitakachokujulisha ni nini Hutwama?
阿拉伯语经注:
نَارُ ٱللَّهِ ٱلۡمُوقَدَةُ
Moto wa Mwenyezi Mungu uliowashwa.
阿拉伯语经注:
ٱلَّتِي تَطَّلِعُ عَلَى ٱلۡأَفۡـِٔدَةِ
Ambao unapanda nyoyoni.
阿拉伯语经注:
إِنَّهَا عَلَيۡهِم مُّؤۡصَدَةٞ
Hakika huo utafungwa sawasawa nao wako ndani yake.
阿拉伯语经注:
فِي عَمَدٖ مُّمَدَّدَةِۭ
Kwenye nguzo zilizonyooshwa.
阿拉伯语经注:
 
含义的翻译 章: 哈姆宰
章节目录 页码
 
《古兰经》译解 - 斯瓦希里语翻译 - 拉瓦德翻译中心。 - 译解目录

由拉瓦德翻译中心团队与拉布瓦 الدعوة协会和伊斯兰内容服务协会合作翻译。

关闭