Check out the new design

《古兰经》译解 - 斯瓦希里语翻译 - 拉瓦德翻译中心。 * - 译解目录


含义的翻译 章: 泰嘎唯拉   段:

At-Takwir

إِذَا ٱلشَّمۡسُ كُوِّرَتۡ
Jua litakapokunjwa,
阿拉伯语经注:
وَإِذَا ٱلنُّجُومُ ٱنكَدَرَتۡ
Na nyota zikazimwa,
阿拉伯语经注:
وَإِذَا ٱلۡجِبَالُ سُيِّرَتۡ
Na milima ikaondolewa,
阿拉伯语经注:
وَإِذَا ٱلۡعِشَارُ عُطِّلَتۡ
Na ngamia wenye mimba pevu watakapoachwa wasishughulikiwe,
阿拉伯语经注:
وَإِذَا ٱلۡوُحُوشُ حُشِرَتۡ
Na wanyama wa mwituni wakakusanywa,
阿拉伯语经注:
وَإِذَا ٱلۡبِحَارُ سُجِّرَتۡ
Na bahari zikawaka moto,
阿拉伯语经注:
وَإِذَا ٱلنُّفُوسُ زُوِّجَتۡ
Na nafsi zikaunganishwa,
阿拉伯语经注:
وَإِذَا ٱلۡمَوۡءُۥدَةُ سُئِلَتۡ
Na msichana aliyezikwa hai atakapoulizwa,
阿拉伯语经注:
بِأَيِّ ذَنۢبٖ قُتِلَتۡ
Kwa kosa gani aliuliwa?
阿拉伯语经注:
وَإِذَا ٱلصُّحُفُ نُشِرَتۡ
Na madaftari yatakapoenezwa,
阿拉伯语经注:
وَإِذَا ٱلسَّمَآءُ كُشِطَتۡ
Na mbingu itakapotanduliwa,
阿拉伯语经注:
وَإِذَا ٱلۡجَحِيمُ سُعِّرَتۡ
Na Jahannamu itakapochochewa,
阿拉伯语经注:
وَإِذَا ٱلۡجَنَّةُ أُزۡلِفَتۡ
Na Pepo ikasogezwa,
阿拉伯语经注:
عَلِمَتۡ نَفۡسٞ مَّآ أَحۡضَرَتۡ
Kila nafsi itajua ilichokihudhurisha.
阿拉伯语经注:
فَلَآ أُقۡسِمُ بِٱلۡخُنَّسِ
Ninaapa kwa nyota zinaporejea nyuma.
阿拉伯语经注:
ٱلۡجَوَارِ ٱلۡكُنَّسِ
Zinazokwenda, kisha zikajificha.
阿拉伯语经注:
وَٱلَّيۡلِ إِذَا عَسۡعَسَ
Na kwa usiku unapopungua.
阿拉伯语经注:
وَٱلصُّبۡحِ إِذَا تَنَفَّسَ
Na kwa asubuhi inapopambazuka.
阿拉伯语经注:
إِنَّهُۥ لَقَوۡلُ رَسُولٖ كَرِيمٖ
Kwamba hakika bila ya shaka hii ni kauli ya Mjumbe mtukufu.
阿拉伯语经注:
ذِي قُوَّةٍ عِندَ ذِي ٱلۡعَرۡشِ مَكِينٖ
Mwenye nguvu na mwenye cheo kwa huyo Mwenye Kiti cha Enzi.
阿拉伯语经注:
مُّطَاعٖ ثَمَّ أَمِينٖ
Anayetiiwa, tena muaminifu.
阿拉伯语经注:
وَمَا صَاحِبُكُم بِمَجۡنُونٖ
Na wala huyu mwenzenu hana wazimu.
阿拉伯语经注:
وَلَقَدۡ رَءَاهُ بِٱلۡأُفُقِ ٱلۡمُبِينِ
Na hakika yeye alimwona kwenye upeo wa macho ulio safi.
阿拉伯语经注:
وَمَا هُوَ عَلَى ٱلۡغَيۡبِ بِضَنِينٖ
Wala yeye si bahili kwa mambo ya ghaibu.
阿拉伯语经注:
وَمَا هُوَ بِقَوۡلِ شَيۡطَٰنٖ رَّجِيمٖ
Wala hii si kauli ya Shetani aliyelaaniwa.
阿拉伯语经注:
فَأَيۡنَ تَذۡهَبُونَ
Basi mnakwenda wapi?
阿拉伯语经注:
إِنۡ هُوَ إِلَّا ذِكۡرٞ لِّلۡعَٰلَمِينَ
Haikuwa hii ila ni ukumbusho kwa walimwengu wote.
阿拉伯语经注:
لِمَن شَآءَ مِنكُمۡ أَن يَسۡتَقِيمَ
Kwa yule miongoni mwenu anayetaka kwenda sawa.
阿拉伯语经注:
وَمَا تَشَآءُونَ إِلَّآ أَن يَشَآءَ ٱللَّهُ رَبُّ ٱلۡعَٰلَمِينَ
Wala nyinyi hamtataka isipokuwa atake Mwenyezi Mungu Mola Mlezi wa walimwengu wote.
阿拉伯语经注:
 
含义的翻译 章: 泰嘎唯拉
章节目录 页码
 
《古兰经》译解 - 斯瓦希里语翻译 - 拉瓦德翻译中心。 - 译解目录

由拉瓦德翻译中心团队与拉布瓦 الدعوة协会和伊斯兰内容服务协会合作翻译。

关闭