Check out the new design

《古兰经》译解 - 斯瓦希里语翻译 - 拉瓦德翻译中心。 * - 译解目录


含义的翻译 章: 舍姆斯   段:

Ash-Shams

وَٱلشَّمۡسِ وَضُحَىٰهَا
Ninaapa kwa jua na mwangaza wake!
阿拉伯语经注:
وَٱلۡقَمَرِ إِذَا تَلَىٰهَا
Na kwa mwezi unapolifuatia!
阿拉伯语经注:
وَٱلنَّهَارِ إِذَا جَلَّىٰهَا
Na kwa mchana unapolidhihirisha!
阿拉伯语经注:
وَٱلَّيۡلِ إِذَا يَغۡشَىٰهَا
Na kwa usiku unapolifunika!
阿拉伯语经注:
وَٱلسَّمَآءِ وَمَا بَنَىٰهَا
Na kwa mbingu na kwa aliyeijenga!
阿拉伯语经注:
وَٱلۡأَرۡضِ وَمَا طَحَىٰهَا
Na kwa ardhi na kwa aliyeitandaza!
阿拉伯语经注:
وَنَفۡسٖ وَمَا سَوَّىٰهَا
Na kwa nafsi na kwa aliyeitengeneza!
阿拉伯语经注:
فَأَلۡهَمَهَا فُجُورَهَا وَتَقۡوَىٰهَا
Kisha akaifahamisha uovu wake na wema wake.
阿拉伯语经注:
قَدۡ أَفۡلَحَ مَن زَكَّىٰهَا
Hakika amefanikiwa aliyeitakasa.
阿拉伯语经注:
وَقَدۡ خَابَ مَن دَسَّىٰهَا
Na hakika amehasiri aliyeiviza.
阿拉伯语经注:
كَذَّبَتۡ ثَمُودُ بِطَغۡوَىٰهَآ
Kina Thamudi walikadhibisha kwa sababu ya upotofu wao.
阿拉伯语经注:
إِذِ ٱنۢبَعَثَ أَشۡقَىٰهَا
Aliposimama mwovu wao mkubwa.
阿拉伯语经注:
فَقَالَ لَهُمۡ رَسُولُ ٱللَّهِ نَاقَةَ ٱللَّهِ وَسُقۡيَٰهَا
Hapo Mtume wa Mwenyezi Mungu alipowaambia: Huyu ni ngamia wa Mwenyezi Mungu, mwacheni anywe maji fungu lake.
阿拉伯语经注:
فَكَذَّبُوهُ فَعَقَرُوهَا فَدَمۡدَمَ عَلَيۡهِمۡ رَبُّهُم بِذَنۢبِهِمۡ فَسَوَّىٰهَا
Lakini walimkadhibisha na wakamchinja ngamia, kwa hivyo Mola wao Mlezi aliwaangamiza kwa sababu ya dhambi zao na akawafuta kabisa.
阿拉伯语经注:
وَلَا يَخَافُ عُقۡبَٰهَا
Wala Yeye haogopi matokeo yake.
阿拉伯语经注:
 
含义的翻译 章: 舍姆斯
章节目录 页码
 
《古兰经》译解 - 斯瓦希里语翻译 - 拉瓦德翻译中心。 - 译解目录

由拉瓦德翻译中心团队与拉布瓦 الدعوة协会和伊斯兰内容服务协会合作翻译。

关闭