የቅዱስ ቁርዓን ይዘት ትርጉም - ስዋሂሊኛ ትርጉም - በዓሊይ ሙሕሲን አል-በርዋሊይ * - የትርጉሞች ማዉጫ

XML CSV Excel API
Please review the Terms and Policies

የይዘት ትርጉም ምዕራፍ: ሱረቱ አል ካፊሩን   አንቀጽ:

Surat Al-Kafirun

قُلۡ يَٰٓأَيُّهَا ٱلۡكَٰفِرُونَ
Sema: Enyi makafiri!
Ewe Muhammad! Sema: Enyi makafiri, mlio shikilia juu ya ukafiri wenu.
የአረብኛ ቁርኣን ማብራሪያ:
لَآ أَعۡبُدُ مَا تَعۡبُدُونَ
Siabudu mnacho kiabudu;
Mimi simuabudu mnaye muabudu nyinyi badala ya Mwenyezi Mungu.
የአረብኛ ቁርኣን ማብራሪያ:
وَلَآ أَنتُمۡ عَٰبِدُونَ مَآ أَعۡبُدُ
Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu.
Wala nyinyi si wenye kumuabudu huyo ambaye mimi namuabudu, naye ni Mwenyezi Mungu wa pekee.
የአረብኛ ቁርኣን ማብራሪያ:
وَلَآ أَنَا۠ عَابِدٞ مَّا عَبَدتُّمۡ
Wala sitaabudu mnacho abudu.
Wala mimi si mwenye kuabudu mfano wa ibada yenu, kwani nyinyi ni washirikina.
የአረብኛ ቁርኣን ማብራሪያ:
وَلَآ أَنتُمۡ عَٰبِدُونَ مَآ أَعۡبُدُ
Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu.
Wala nyinyi si wenye kuabudu mfano wa ibada yangu, kwani hii ni Tawhidi, ibada ya Mungu Mmoja.
የአረብኛ ቁርኣን ማብራሪያ:
لَكُمۡ دِينُكُمۡ وَلِيَ دِينِ
Nyinyi mna dini yenu, nami nina Dini yangu.
Nyinyi mna dini yenu mnayo itakidi, na mimi nina Dini yangu aliyo niteulia Mwenyezi Mungu niishike.
የአረብኛ ቁርኣን ማብራሪያ:
 
የይዘት ትርጉም ምዕራፍ: ሱረቱ አል ካፊሩን
የምዕራፎች ማውጫ የገፅ ቁጥር
 
የቅዱስ ቁርዓን ይዘት ትርጉም - ስዋሂሊኛ ትርጉም - በዓሊይ ሙሕሲን አል-በርዋሊይ - የትርጉሞች ማዉጫ

የተከበረው ቁርአን ስዋሂሊኛ መልዕክተ ትርጉም - በዓሊይ ሙሕሲን አል-በርዋሊይ

መዝጋት