Prijevod značenja časnog Kur'ana - الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس * - Sadržaj prijevodā


Prijevod značenja Sura: Sura el-Kevser   Ajet:

Surat Al-Kauthar

إِنَّآ أَعۡطَيۡنَٰكَ ٱلۡكَوۡثَرَ
Sisi tumekupa, ewe Nabii, kheri nyingi za dunia na Akhera, miongoni mwazo ni mto wa Kauthar ulioko Peponi ambao pambizo zake ni mahema ya lulu na mchanga wake ni miski.
Tefsiri na arapskom jeziku:
فَصَلِّ لِرَبِّكَ وَٱنۡحَرۡ
Basi, mtakasie Mola wako ibada yako yote na uchinje mnyama wako kwa ajili Yake, Peke Yake, pamoja na kutaja jina Lake.
Tefsiri na arapskom jeziku:
إِنَّ شَانِئَكَ هُوَ ٱلۡأَبۡتَرُ
Mwenye kukutukia wewe na kuyatukia uliyokuja nayo ya uongofu na nuru ndiye itakayokatika athari yake na yeye mwenyewe kukatiwa kila kheri.
Tefsiri na arapskom jeziku:
 
Prijevod značenja Sura: Sura el-Kevser
Indeks sura Broj stranice
 
Prijevod značenja časnog Kur'ana - الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس - Sadržaj prijevodā

ترجمة معاني القرآن الكريم إلى اللغة السواحلية، ترجمها الدكتور عبد الله محمد أبو بكر والشيخ ناصر خميس.

Zatvaranje