8 : 60

لَّا يَنۡهَىٰكُمُ ٱللَّهُ عَنِ ٱلَّذِينَ لَمۡ يُقَٰتِلُوكُمۡ فِي ٱلدِّينِ وَلَمۡ يُخۡرِجُوكُم مِّن دِيَٰرِكُمۡ أَن تَبَرُّوهُمۡ وَتُقۡسِطُوٓاْ إِلَيۡهِمۡۚ إِنَّ ٱللَّهَ يُحِبُّ ٱلۡمُقۡسِطِينَ

Allah Mtukufu Hawakatazi, (enyi Waumini), kuwakirimu kwa wema makafiri ambao hawakuwapiga vita kwa ajili ya dini wala hawakuwatoa kutoka majumbani mwenu, na kuwafanyia usawa kwa hisani yenu na wema wenu kwao, kwani Allah Mtukufu Anawapenda wale wanaofanya uadilifu katika maneno yao na matendo yao. info
التفاسير: |
prev

Al-Mumtahanah

next
:
0:00 0:00