Check out the new design

《古兰经》译解 - 斯瓦希里语翻译 - 拉瓦德翻译中心。 * - 译解目录


含义的翻译 章: 瓦格尔   段:

Al-Waqi'ah

إِذَا وَقَعَتِ ٱلۡوَاقِعَةُ
Litakapotokea hilo Tukio.
阿拉伯语经注:
لَيۡسَ لِوَقۡعَتِهَا كَاذِبَةٌ
Hapana cha kukanusha kutokea kwake.
阿拉伯语经注:
خَافِضَةٞ رَّافِعَةٌ
Literemshalo linyanyualo.
阿拉伯语经注:
إِذَا رُجَّتِ ٱلۡأَرۡضُ رَجّٗا
Itakapotikiswa ardhi kwa mtikiso.
阿拉伯语经注:
وَبُسَّتِ ٱلۡجِبَالُ بَسّٗا
Na milima itakaposagwasagwa.
阿拉伯语经注:
فَكَانَتۡ هَبَآءٗ مُّنۢبَثّٗا
Basi iwe mavumbi yanayopeperushwa.
阿拉伯语经注:
وَكُنتُمۡ أَزۡوَٰجٗا ثَلَٰثَةٗ
Na nyinyi mtakuwa namna tatu.
阿拉伯语经注:
فَأَصۡحَٰبُ ٱلۡمَيۡمَنَةِ مَآ أَصۡحَٰبُ ٱلۡمَيۡمَنَةِ
Basi watakuwepo wa kuliani; je, ni wepi wa kuliani?
阿拉伯语经注:
وَأَصۡحَٰبُ ٱلۡمَشۡـَٔمَةِ مَآ أَصۡحَٰبُ ٱلۡمَشۡـَٔمَةِ
Na wa kushotoni; je, ni wepi wa kushotoni?
阿拉伯语经注:
وَٱلسَّٰبِقُونَ ٱلسَّٰبِقُونَ
Na wa mbele watakuwa mbele.
阿拉伯语经注:
أُوْلَٰٓئِكَ ٱلۡمُقَرَّبُونَ
Hao ndio watakaowekwa karibu (na Mwenyezi Mungu).
阿拉伯语经注:
فِي جَنَّٰتِ ٱلنَّعِيمِ
Katika Bustani zenye neema.
阿拉伯语经注:
ثُلَّةٞ مِّنَ ٱلۡأَوَّلِينَ
Fungu kubwa katika wa mwanzo.
阿拉伯语经注:
وَقَلِيلٞ مِّنَ ٱلۡأٓخِرِينَ
Na wachache katika wa mwisho.
阿拉伯语经注:
عَلَىٰ سُرُرٖ مَّوۡضُونَةٖ
Watakuwa juu ya viti vya fakhari vilivyotonewa.
阿拉伯语经注:
مُّتَّكِـِٔينَ عَلَيۡهَا مُتَقَٰبِلِينَ
Wakiviegemea wakielekeana.
阿拉伯语经注:
يَطُوفُ عَلَيۡهِمۡ وِلۡدَٰنٞ مُّخَلَّدُونَ
Wakitumikiwa na wavulana wa ujana wa milele.
阿拉伯语经注:
بِأَكۡوَابٖ وَأَبَارِيقَ وَكَأۡسٖ مِّن مَّعِينٖ
Kwa vikombe na mabirika na bilauri za vinywaji kutoka chemchemi safi.
阿拉伯语经注:
لَّا يُصَدَّعُونَ عَنۡهَا وَلَا يُنزِفُونَ
Hawataumwa kichwa kwa vinywaji hivyo wala hawatoleweshwa.
阿拉伯语经注:
وَفَٰكِهَةٖ مِّمَّا يَتَخَيَّرُونَ
Na matunda wayapendayo.
阿拉伯语经注:
وَلَحۡمِ طَيۡرٖ مِّمَّا يَشۡتَهُونَ
Na nyama za ndege kama wanavyotamani.
阿拉伯语经注:
وَحُورٌ عِينٞ
Na Mahurulaini.
阿拉伯语经注:
كَأَمۡثَٰلِ ٱللُّؤۡلُوِٕ ٱلۡمَكۡنُونِ
Walio kama mfano wa lulu zilizohifadhiwa.
阿拉伯语经注:
جَزَآءَۢ بِمَا كَانُواْ يَعۡمَلُونَ
Ni malipo kwa waliyokuwa wakiyatenda.
阿拉伯语经注:
لَا يَسۡمَعُونَ فِيهَا لَغۡوٗا وَلَا تَأۡثِيمًا
Humo hawatasikia porojo wala maneno ya dhambi.
阿拉伯语经注:
إِلَّا قِيلٗا سَلَٰمٗا سَلَٰمٗا
Isipokuwa maneno ya Salama, Salama.
阿拉伯语经注:
وَأَصۡحَٰبُ ٱلۡيَمِينِ مَآ أَصۡحَٰبُ ٱلۡيَمِينِ
Na wale wa mkono wa kulia, ni yepi yatakuwa ya wa kuliani?
阿拉伯语经注:
فِي سِدۡرٖ مَّخۡضُودٖ
Katika mikunazi isiyo na miba.
阿拉伯语经注:
وَطَلۡحٖ مَّنضُودٖ
Na migomba iliyopangiliwa.
阿拉伯语经注:
وَظِلّٖ مَّمۡدُودٖ
Na kivuli kilichotanda.
阿拉伯语经注:
وَمَآءٖ مَّسۡكُوبٖ
Na maji yanayomiminika.
阿拉伯语经注:
وَفَٰكِهَةٖ كَثِيرَةٖ
Na matunda mengi.
阿拉伯语经注:
لَّا مَقۡطُوعَةٖ وَلَا مَمۡنُوعَةٖ
Hayatindikii wala hayakatazwi.
阿拉伯语经注:
وَفُرُشٖ مَّرۡفُوعَةٍ
Na matandiko yaliyonyanyuliwa.
阿拉伯语经注:
إِنَّآ أَنشَأۡنَٰهُنَّ إِنشَآءٗ
Hakika Sisi tutawaumba (Mahurulaini) upya.
阿拉伯语经注:
فَجَعَلۡنَٰهُنَّ أَبۡكَارًا
Na tutawafanya vijana.
阿拉伯语经注:
عُرُبًا أَتۡرَابٗا
Wanapendana na waume zao, hirimu moja.
阿拉伯语经注:
لِّأَصۡحَٰبِ ٱلۡيَمِينِ
Kwa ajili ya watu wa kuliani.
阿拉伯语经注:
ثُلَّةٞ مِّنَ ٱلۡأَوَّلِينَ
Fungu kubwa katika wa mwanzo.
阿拉伯语经注:
وَثُلَّةٞ مِّنَ ٱلۡأٓخِرِينَ
Na fungu kubwa katika wa mwisho.
阿拉伯语经注:
وَأَصۡحَٰبُ ٱلشِّمَالِ مَآ أَصۡحَٰبُ ٱلشِّمَالِ
Na watu wa kushotoni; je ni yepi ya wa kushotoni?
阿拉伯语经注:
فِي سَمُومٖ وَحَمِيمٖ
Katika upepo wa moto, na maji yanayochemka.
阿拉伯语经注:
وَظِلّٖ مِّن يَحۡمُومٖ
Na kivuli cha moshi mweusi.
阿拉伯语经注:
لَّا بَارِدٖ وَلَا كَرِيمٍ
Si baridi wala cha kustarehesha.
阿拉伯语经注:
إِنَّهُمۡ كَانُواْ قَبۡلَ ذَٰلِكَ مُتۡرَفِينَ
Hakika hao walikuwa kabla ya haya wakiishi maisha ya anasa.
阿拉伯语经注:
وَكَانُواْ يُصِرُّونَ عَلَى ٱلۡحِنثِ ٱلۡعَظِيمِ
Na walikuwa wakiendelea tu kufanya madhambi makubwa.
阿拉伯语经注:
وَكَانُواْ يَقُولُونَ أَئِذَا مِتۡنَا وَكُنَّا تُرَابٗا وَعِظَٰمًا أَءِنَّا لَمَبۡعُوثُونَ
Na walikuwa wakisema: 'Tutakapokufa na tukawa udongo na mafupa, ati ndiyo tutafufuliwa?
阿拉伯语经注:
أَوَءَابَآؤُنَا ٱلۡأَوَّلُونَ
Au baba zetu wa zamani?'
阿拉伯语经注:
قُلۡ إِنَّ ٱلۡأَوَّلِينَ وَٱلۡأٓخِرِينَ
Sema: 'Hakika wa zamani na wa mwisho.'
阿拉伯语经注:
لَمَجۡمُوعُونَ إِلَىٰ مِيقَٰتِ يَوۡمٖ مَّعۡلُومٖ
Bila ya shaka watakusanywa kwa wakati wa siku maalumu.
阿拉伯语经注:
ثُمَّ إِنَّكُمۡ أَيُّهَا ٱلضَّآلُّونَ ٱلۡمُكَذِّبُونَ
Kisha nyinyi, mliopotea, mnaokanusha.
阿拉伯语经注:
لَأٓكِلُونَ مِن شَجَرٖ مِّن زَقُّومٖ
Kwa yakini mtakula mti wa Zaqqumu.
阿拉伯语经注:
فَمَالِـُٔونَ مِنۡهَا ٱلۡبُطُونَ
Na kwa mti huo mtajaza matumbo.
阿拉伯语经注:
فَشَٰرِبُونَ عَلَيۡهِ مِنَ ٱلۡحَمِيمِ
Na juu yake mtakunywa maji yanayochemka.
阿拉伯语经注:
فَشَٰرِبُونَ شُرۡبَ ٱلۡهِيمِ
Tena mtakunywa kama wanavyokunywa ngamia wenye kiu.
阿拉伯语经注:
هَٰذَا نُزُلُهُمۡ يَوۡمَ ٱلدِّينِ
Hiyo ndiyo karamu yao ya kuwakaribisha Siku ya Malipo.
阿拉伯语经注:
نَحۡنُ خَلَقۡنَٰكُمۡ فَلَوۡلَا تُصَدِّقُونَ
Sisi tumekuumbeni; basi hamsadiki?
阿拉伯语经注:
أَفَرَءَيۡتُم مَّا تُمۡنُونَ
Je, mnaiona mbegu ya uzazi mnayoidondokesha?
阿拉伯语经注:
ءَأَنتُمۡ تَخۡلُقُونَهُۥٓ أَمۡ نَحۡنُ ٱلۡخَٰلِقُونَ
Je, mnaiumba nyinyi, au ni Sisi ndio Waumbaji?
阿拉伯语经注:
نَحۡنُ قَدَّرۡنَا بَيۡنَكُمُ ٱلۡمَوۡتَ وَمَا نَحۡنُ بِمَسۡبُوقِينَ
Sisi tumekuwekeeni mauti; na wala Sisi hatushindwi.
阿拉伯语经注:
عَلَىٰٓ أَن نُّبَدِّلَ أَمۡثَٰلَكُمۡ وَنُنشِئَكُمۡ فِي مَا لَا تَعۡلَمُونَ
Kuwaleta wengine badala yenu na kukuumbeni nyinyi kwa umbo msilolijua.
阿拉伯语经注:
وَلَقَدۡ عَلِمۡتُمُ ٱلنَّشۡأَةَ ٱلۡأُولَىٰ فَلَوۡلَا تَذَكَّرُونَ
Na bila ya shaka mlikwisha jua umbo la kwanza, basi kwa nini hamkumbuki?
阿拉伯语经注:
أَفَرَءَيۡتُم مَّا تَحۡرُثُونَ
Je, mnaona hivyo mnavyovipanda?
阿拉伯语经注:
ءَأَنتُمۡ تَزۡرَعُونَهُۥٓ أَمۡ نَحۡنُ ٱلزَّٰرِعُونَ
Je, ni nyinyi mnayoyaotesha au ni Sisi ndio wenye kuotesha?
阿拉伯语经注:
لَوۡ نَشَآءُ لَجَعَلۡنَٰهُ حُطَٰمٗا فَظَلۡتُمۡ تَفَكَّهُونَ
Tungelitaka, tungeliyafanya yakawa mapepe, mkabaki mnastaajabu.
阿拉伯语经注:
إِنَّا لَمُغۡرَمُونَ
Mkisema: 'Hakika sisi tumegharimika.'
阿拉伯语经注:
بَلۡ نَحۡنُ مَحۡرُومُونَ
Bali sisi tumenyimwa.
阿拉伯语经注:
أَفَرَءَيۡتُمُ ٱلۡمَآءَ ٱلَّذِي تَشۡرَبُونَ
Je, mnayaona maji mnayoyanywa?
阿拉伯语经注:
ءَأَنتُمۡ أَنزَلۡتُمُوهُ مِنَ ٱلۡمُزۡنِ أَمۡ نَحۡنُ ٱلۡمُنزِلُونَ
Je, ni nyinyi mnaoyateremsha kutoka mawinguni au ni Sisi ndio wenye kuyateremsha?
阿拉伯语经注:
لَوۡ نَشَآءُ جَعَلۡنَٰهُ أُجَاجٗا فَلَوۡلَا تَشۡكُرُونَ
Tungelipenda, tungeliyafanya ya chumvi. Basi mbona hamshukuru?
阿拉伯语经注:
أَفَرَءَيۡتُمُ ٱلنَّارَ ٱلَّتِي تُورُونَ
Je, mnauona moto mnaouwasha?
阿拉伯语经注:
ءَأَنتُمۡ أَنشَأۡتُمۡ شَجَرَتَهَآ أَمۡ نَحۡنُ ٱلۡمُنشِـُٔونَ
Ni nyinyi mliouumba mti wake au Sisi ndio Waumbaji?
阿拉伯语经注:
نَحۡنُ جَعَلۡنَٰهَا تَذۡكِرَةٗ وَمَتَٰعٗا لِّلۡمُقۡوِينَ
Sisi tumeufanya uwe ni ukumbusho na manufaa kwa walioko nyikani.
阿拉伯语经注:
فَسَبِّحۡ بِٱسۡمِ رَبِّكَ ٱلۡعَظِيمِ
Basi litakase jina la Mola wako Mlezi aliye Mkuu.
阿拉伯语经注:
۞ فَلَآ أُقۡسِمُ بِمَوَٰقِعِ ٱلنُّجُومِ
Basi ninaapa kwa maanguko ya nyota.
阿拉伯语经注:
وَإِنَّهُۥ لَقَسَمٞ لَّوۡ تَعۡلَمُونَ عَظِيمٌ
Na hakika bila ya shaka hiki ni kiapo kikubwa, laiti mngelijua!
阿拉伯语经注:
إِنَّهُۥ لَقُرۡءَانٞ كَرِيمٞ
Hakika hii bila ya shaka ni Qur-ani Tukufu.
阿拉伯语经注:
فِي كِتَٰبٖ مَّكۡنُونٖ
Katika Kitabu kilichohifadhiwa.
阿拉伯语经注:
لَّا يَمَسُّهُۥٓ إِلَّا ٱلۡمُطَهَّرُونَ
Hapana akigusaye ila waliotakaswa.
阿拉伯语经注:
تَنزِيلٞ مِّن رَّبِّ ٱلۡعَٰلَمِينَ
Ni uteremsho unaotoka kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.
阿拉伯语经注:
أَفَبِهَٰذَا ٱلۡحَدِيثِ أَنتُم مُّدۡهِنُونَ
Ni maneno haya ndiyo nyinyi mnayapuuza?
阿拉伯语经注:
وَتَجۡعَلُونَ رِزۡقَكُمۡ أَنَّكُمۡ تُكَذِّبُونَ
Na badala ya kushukuru kwa riziki yenu mnafanya kuwa mnakadhibisha?
阿拉伯语经注:
فَلَوۡلَآ إِذَا بَلَغَتِ ٱلۡحُلۡقُومَ
Yawaje basi itakapofika roho kwenye koo.
阿拉伯语经注:
وَأَنتُمۡ حِينَئِذٖ تَنظُرُونَ
Na nyinyi wakati huo mnatazama!
阿拉伯语经注:
وَنَحۡنُ أَقۡرَبُ إِلَيۡهِ مِنكُمۡ وَلَٰكِن لَّا تُبۡصِرُونَ
Na Sisi tuko karibu zaidi naye kuliko nyinyi, lakini hamuoni.
阿拉伯语经注:
فَلَوۡلَآ إِن كُنتُمۡ غَيۡرَ مَدِينِينَ
Na lau kuwa nyinyi hamumo katika mamlaka yangu.
阿拉伯语经注:
تَرۡجِعُونَهَآ إِن كُنتُمۡ صَٰدِقِينَ
Kwa nini hamuirudishi hiyo roho, ikiwa nyinyi mnasema kweli?
阿拉伯语经注:
فَأَمَّآ إِن كَانَ مِنَ ٱلۡمُقَرَّبِينَ
Kwa hivyo, akiwa miongoni mwa wale walio karibu na Mwenyezi Mungu.
阿拉伯语经注:
فَرَوۡحٞ وَرَيۡحَانٞ وَجَنَّتُ نَعِيمٖ
Basi ni raha, na manukato, na Bustani zenye neema.
阿拉伯语经注:
وَأَمَّآ إِن كَانَ مِنۡ أَصۡحَٰبِ ٱلۡيَمِينِ
Na akiwa katika wale wa upande wa kulia.
阿拉伯语经注:
فَسَلَٰمٞ لَّكَ مِنۡ أَصۡحَٰبِ ٱلۡيَمِينِ
Basi ni Salamu kwako uliye miongoni mwa wale wa upande wa kulia.
阿拉伯语经注:
وَأَمَّآ إِن كَانَ مِنَ ٱلۡمُكَذِّبِينَ ٱلضَّآلِّينَ
Na ama akiwa katika wale waliokadhibisha, wapotovu.
阿拉伯语经注:
فَنُزُلٞ مِّنۡ حَمِيمٖ
Basi karamu ya makaribisho yake ni maji yanayochemka.
阿拉伯语经注:
وَتَصۡلِيَةُ جَحِيمٍ
Na kutiwa Motoni.
阿拉伯语经注:
إِنَّ هَٰذَا لَهُوَ حَقُّ ٱلۡيَقِينِ
Hakika hii ndiyo haki yenye yakini.
阿拉伯语经注:
فَسَبِّحۡ بِٱسۡمِ رَبِّكَ ٱلۡعَظِيمِ
Basi litakase jina la Mola wako Mlezi aliye Mkuu.
阿拉伯语经注:
 
含义的翻译 章: 瓦格尔
章节目录 页码
 
《古兰经》译解 - 斯瓦希里语翻译 - 拉瓦德翻译中心。 - 译解目录

由拉瓦德翻译中心团队与拉布瓦 الدعوة协会和伊斯兰内容服务协会合作翻译。

关闭