Prijevod značenja Plemenitog Kur'ana - Prevod na svahili jezik - Abdullah Muhammed i Nasir Hamis

13 : 15

لَا يُؤۡمِنُونَ بِهِۦ وَقَدۡ خَلَتۡ سُنَّةُ ٱلۡأَوَّلِينَ

Hawauamini Ukumbusho ulioteremshwa kwako. Na umeshapita mwendo wa wamwanzo wa kuwaangamiza wakanushaji. Na hawa ni kama wao, wataangamizwa wenye kuendelea na ukafiri na ukanushaji miongoni mwao. info
التفاسير: |
prev

Al-hijr

next
:
0:00 0:00