Fassarar Ma'anonin Alqura'ni - Fassara da yaren Sawahili - Abdullah Muhammad da Nasir Khamis * - Teburin Bayani kan wasu Fassarori


Fassarar Ma'anoni Sura: Suratu Alkafiroun   Aya:

Surat Al-Kafirun

قُلۡ يَٰٓأَيُّهَا ٱلۡكَٰفِرُونَ
Sema, ewe Mtume, kuwaambia waliokufuru Mwenyezi Mungu na Mtume wake: «Enyi wenye kumkanusha Mwenyezi Mungu!
Tafsiran larabci:
لَآ أَعۡبُدُ مَا تَعۡبُدُونَ
«Mimi siabudu mnavyoviabudu miongoni mwa masanamu na waungu wa urongo.
Tafsiran larabci:
وَلَآ أَنتُمۡ عَٰبِدُونَ مَآ أَعۡبُدُ
«Wala nyinyi si wenye kuabudu Mola Mmoja ninayemuabudu Ambaye ndiye Anayestahiki kuabudiwa.
Tafsiran larabci:
وَلَآ أَنَا۠ عَابِدٞ مَّا عَبَدتُّمۡ
«Wala mimi si mwenye kuabudu mnavyoviabudu miongoni mwa masanamu na waungu wa urongo.
Tafsiran larabci:
وَلَآ أَنتُمۡ عَٰبِدُونَ مَآ أَعۡبُدُ
«Wala nyinyi si wenye kuabudu mbeleni ninayemuabudu.» Aya hii imeteremka juu ya watu makhsusi miongoni mwa washirikina ambao Mwenyezi Mungu Alijua kuwa hawataamini kabisa.
Tafsiran larabci:
لَكُمۡ دِينُكُمۡ وَلِيَ دِينِ
«Nyinyi mna dini yenu mnayoiamini na mimi nina Dini yangu ambayo sitaki nyingine.»
Tafsiran larabci:
 
Fassarar Ma'anoni Sura: Suratu Alkafiroun
Teburin Jerin Sunayen Surori Lambar shafi
 
Fassarar Ma'anonin Alqura'ni - Fassara da yaren Sawahili - Abdullah Muhammad da Nasir Khamis - Teburin Bayani kan wasu Fassarori

ترجمة معاني القرآن الكريم إلى اللغة السواحلية، ترجمها الدكتور عبد الله محمد أبو بكر والشيخ ناصر خميس.

Rufewa