Traduzione dei Significati del Sacro Corano - Traduzione swahili - Abdullah Mohammed e Nasser Khamis * - Indice Traduzioni


Traduzione dei significati Sura: Al-Kâfirûn   Versetto:

Surat Al-Kafirun

قُلۡ يَٰٓأَيُّهَا ٱلۡكَٰفِرُونَ
Sema, ewe Mtume, kuwaambia waliokufuru Mwenyezi Mungu na Mtume wake: «Enyi wenye kumkanusha Mwenyezi Mungu!
Esegesi in lingua araba:
لَآ أَعۡبُدُ مَا تَعۡبُدُونَ
«Mimi siabudu mnavyoviabudu miongoni mwa masanamu na waungu wa urongo.
Esegesi in lingua araba:
وَلَآ أَنتُمۡ عَٰبِدُونَ مَآ أَعۡبُدُ
«Wala nyinyi si wenye kuabudu Mola Mmoja ninayemuabudu Ambaye ndiye Anayestahiki kuabudiwa.
Esegesi in lingua araba:
وَلَآ أَنَا۠ عَابِدٞ مَّا عَبَدتُّمۡ
«Wala mimi si mwenye kuabudu mnavyoviabudu miongoni mwa masanamu na waungu wa urongo.
Esegesi in lingua araba:
وَلَآ أَنتُمۡ عَٰبِدُونَ مَآ أَعۡبُدُ
«Wala nyinyi si wenye kuabudu mbeleni ninayemuabudu.» Aya hii imeteremka juu ya watu makhsusi miongoni mwa washirikina ambao Mwenyezi Mungu Alijua kuwa hawataamini kabisa.
Esegesi in lingua araba:
لَكُمۡ دِينُكُمۡ وَلِيَ دِينِ
«Nyinyi mna dini yenu mnayoiamini na mimi nina Dini yangu ambayo sitaki nyingine.»
Esegesi in lingua araba:
 
Traduzione dei significati Sura: Al-Kâfirûn
Indice delle Sure Numero di pagina
 
Traduzione dei Significati del Sacro Corano - Traduzione swahili - Abdullah Mohammed e Nasser Khamis - Indice Traduzioni

Traduzione dei significati del Nobile Corano in swahili di Abdullah Mohammed ِAbu Bakr e Shaikh Nasser Khamis

Chiudi