Tradução dos significados do Nobre Qur’an. - Tradução Suaíli - Abdullah Muhammad e Nasser Khamis * - Índice de tradução


Tradução dos significados Surah: Suratu Al-Kafirun   Versículo:

Surat Al-Kafirun

قُلۡ يَٰٓأَيُّهَا ٱلۡكَٰفِرُونَ
Sema, ewe Mtume, kuwaambia waliokufuru Mwenyezi Mungu na Mtume wake: «Enyi wenye kumkanusha Mwenyezi Mungu!
Os Tafssir em língua árabe:
لَآ أَعۡبُدُ مَا تَعۡبُدُونَ
«Mimi siabudu mnavyoviabudu miongoni mwa masanamu na waungu wa urongo.
Os Tafssir em língua árabe:
وَلَآ أَنتُمۡ عَٰبِدُونَ مَآ أَعۡبُدُ
«Wala nyinyi si wenye kuabudu Mola Mmoja ninayemuabudu Ambaye ndiye Anayestahiki kuabudiwa.
Os Tafssir em língua árabe:
وَلَآ أَنَا۠ عَابِدٞ مَّا عَبَدتُّمۡ
«Wala mimi si mwenye kuabudu mnavyoviabudu miongoni mwa masanamu na waungu wa urongo.
Os Tafssir em língua árabe:
وَلَآ أَنتُمۡ عَٰبِدُونَ مَآ أَعۡبُدُ
«Wala nyinyi si wenye kuabudu mbeleni ninayemuabudu.» Aya hii imeteremka juu ya watu makhsusi miongoni mwa washirikina ambao Mwenyezi Mungu Alijua kuwa hawataamini kabisa.
Os Tafssir em língua árabe:
لَكُمۡ دِينُكُمۡ وَلِيَ دِينِ
«Nyinyi mna dini yenu mnayoiamini na mimi nina Dini yangu ambayo sitaki nyingine.»
Os Tafssir em língua árabe:
 
Tradução dos significados Surah: Suratu Al-Kafirun
Índice de capítulos Número de página
 
Tradução dos significados do Nobre Qur’an. - Tradução Suaíli - Abdullah Muhammad e Nasser Khamis - Índice de tradução

Tradução dos significados do Alcorão em suaíli pelo Dr. Abdalla Mohamed Abubakar e Nassor Khamis

Fechar