क़ुरआन के अर्थों का अनुवाद - स्वाहीली अनुवाद - अब्दुल्लाह मुहम्मद तथा नासिर ख़मीस * - अनुवादों की सूची


अर्थों का अनुवाद सूरा: सूरा अत्-तकासुर   आयत:

Surat At-Takathur

أَلۡهَىٰكُمُ ٱلتَّكَاثُرُ
Kumewashughulisha kujifahiri kwa mali na watoto mkawacha kumtii Mwenyezi Mungu
अरबी तफ़सीरें:
حَتَّىٰ زُرۡتُمُ ٱلۡمَقَابِرَ
Kujishughulisha kwenu na hilo kumeendelea mpaka mkawa makaburini na mkazikwa humo.
अरबी तफ़सीरें:
كَلَّا سَوۡفَ تَعۡلَمُونَ
Siyo namna hii inatakiwa iwapumbaze kushindana kwa wingi wa mali. Itawadhihirikia kuwa Nyumba ya Akhera ni bora kwenu.
अरबी तफ़सीरें:
ثُمَّ كَلَّا سَوۡفَ تَعۡلَمُونَ
Kisha tahadharini mtajua mwisho mbaya wa kutojishughulisha na Akhera.
अरबी तफ़सीरें:
كَلَّا لَوۡ تَعۡلَمُونَ عِلۡمَ ٱلۡيَقِينِ
Siyo namna hii inatakiwa iwashughulishe kushindana kwa wingi wa mali.Lau mnajua kikweli, mngalirudi nyuma na mngaliangusiliza kuokoa nafsi zenu kutoka kwenye maangamivu.
अरबी तफ़सीरें:
لَتَرَوُنَّ ٱلۡجَحِيمَ
Mtauona Moto!
अरबी तफ़सीरें:
ثُمَّ لَتَرَوُنَّهَا عَيۡنَ ٱلۡيَقِينِ
Kisha mtauona bila shaka!
अरबी तफ़सीरें:
ثُمَّ لَتُسۡـَٔلُنَّ يَوۡمَئِذٍ عَنِ ٱلنَّعِيمِ
Kisha mtaulizwa kuhusu kila aina ya starehe mliyokuwa nayo.
अरबी तफ़सीरें:
 
अर्थों का अनुवाद सूरा: सूरा अत्-तकासुर
सूरों की सूची पृष्ठ संख्या
 
क़ुरआन के अर्थों का अनुवाद - स्वाहीली अनुवाद - अब्दुल्लाह मुहम्मद तथा नासिर ख़मीस - अनुवादों की सूची

पवित्र क़ुरआन के अर्थों का सवाहिली अनुवाद, अनुवादक : डॉ. अब्दुल्लाह मुहम्मद अबू बक्र तथा शैख़ नासिर ख़मीस

बंद करें