Check out the new design

قرآن کریم کے معانی کا ترجمہ - سواحلی ترجمہ - عبد اللہ محمد اور ناصر خمیس * - ترجمے کی لسٹ


معانی کا ترجمہ سورت: تکاثر   آیت:

At-Takathur

أَلۡهَىٰكُمُ ٱلتَّكَاثُرُ
Kumewashughulisha kujifahiri kwa mali na watoto mkawacha kumtii Mwenyezi Mungu
عربی تفاسیر:
حَتَّىٰ زُرۡتُمُ ٱلۡمَقَابِرَ
Kujishughulisha kwenu na hilo kumeendelea mpaka mkawa makaburini na mkazikwa humo.
عربی تفاسیر:
كَلَّا سَوۡفَ تَعۡلَمُونَ
Siyo namna hii inatakiwa iwapumbaze kushindana kwa wingi wa mali. Itawadhihirikia kuwa Nyumba ya Akhera ni bora kwenu.
عربی تفاسیر:
ثُمَّ كَلَّا سَوۡفَ تَعۡلَمُونَ
Kisha tahadharini mtajua mwisho mbaya wa kutojishughulisha na Akhera.
عربی تفاسیر:
كَلَّا لَوۡ تَعۡلَمُونَ عِلۡمَ ٱلۡيَقِينِ
Siyo namna hii inatakiwa iwashughulishe kushindana kwa wingi wa mali.Lau mnajua kikweli, mngalirudi nyuma na mngaliangusiliza kuokoa nafsi zenu kutoka kwenye maangamivu.
عربی تفاسیر:
لَتَرَوُنَّ ٱلۡجَحِيمَ
Mtauona Moto!
عربی تفاسیر:
ثُمَّ لَتَرَوُنَّهَا عَيۡنَ ٱلۡيَقِينِ
Kisha mtauona bila shaka!
عربی تفاسیر:
ثُمَّ لَتُسۡـَٔلُنَّ يَوۡمَئِذٍ عَنِ ٱلنَّعِيمِ
Kisha mtaulizwa kuhusu kila aina ya starehe mliyokuwa nayo.
عربی تفاسیر:
 
معانی کا ترجمہ سورت: تکاثر
سورتوں کی لسٹ صفحہ نمبر
 
قرآن کریم کے معانی کا ترجمہ - سواحلی ترجمہ - عبد اللہ محمد اور ناصر خمیس - ترجمے کی لسٹ

ڈاکٹر عبد اللہ محمد ابو بکر اور شیخ ناصر خمیس نے ترجمہ کیا ہے۔

بند کریں