Check out the new design

पवित्र कुरअानको अर्थको अनुवाद - स्वाहिली अनुवाद : अली मुहसिन बरवानी । * - अनुवादहरूको सूची

XML CSV Excel API
Please review the Terms and Policies

अर्थको अनुवाद सूरः: फलक   श्लोक:

Al-Falaq

قُلۡ أَعُوذُ بِرَبِّ ٱلۡفَلَقِ
Sema: Najikinga kwa Mola Mlezi wa mapambazuko, [1]
[1] Sema najikinga na Mola Mlezi wa asubuhi inapo pambazuka kutokana na usiku.
अरबी व्याख्याहरू:
مِن شَرِّ مَا خَلَقَ
Na shari ya alivyo viumba, [2]
[2] Na shari ya kila chenye shari katika viumbe, ambavyo hapana wa kuzuia shari yao ila Mwenye kumiliki amri yao.
अरबी व्याख्याहरू:
وَمِن شَرِّ غَاسِقٍ إِذَا وَقَبَ
Na shari ya giza la usiku liingiapo, [3]
[3] Na shari ya usiku unapo kuwa totoro.
अरबी व्याख्याहरू:
وَمِن شَرِّ ٱلنَّفَّٰثَٰتِ فِي ٱلۡعُقَدِ
Na shari ya wanao pulizia mafundoni, [4]
[4] Na shari ya anaye pita baina ya watu kwa sababu ya kuwafisidi.
अरबी व्याख्याहरू:
وَمِن شَرِّ حَاسِدٍ إِذَا حَسَدَ
Na shari ya hasidi anapo husudu. [5]
[5] Na shari ya hasidi anaye tamani iondoke neema kwa wengine.
अरबी व्याख्याहरू:
 
अर्थको अनुवाद सूरः: फलक
अध्यायहरूको (सूरःहरूको) सूची رقم الصفحة
 
पवित्र कुरअानको अर्थको अनुवाद - स्वाहिली अनुवाद : अली मुहसिन बरवानी । - अनुवादहरूको सूची

यसलाई अली मुहसिन बरवानीले अनुवाद गरेका छन् ।

बन्द गर्नुस्