6 : 60

لَقَدۡ كَانَ لَكُمۡ فِيهِمۡ أُسۡوَةٌ حَسَنَةٞ لِّمَن كَانَ يَرۡجُواْ ٱللَّهَ وَٱلۡيَوۡمَ ٱلۡأٓخِرَۚ وَمَن يَتَوَلَّ فَإِنَّ ٱللَّهَ هُوَ ٱلۡغَنِيُّ ٱلۡحَمِيدُ

Kwa hakika mlikuwa, (enyi Waumini), na kiigizo chema kwa Ibrãhîm, amani imshukie, na wale waliokuwa naye, kwa anayetumai kupata kheri kutoka kwa Allah Mtukufu duniani na Akhera. Na yoyote anayeyapuuza yale ambayo Allah Mtukufu Anamuitia nayo ya kuwaiga Manabii Wake na akafanya urafiki na maadui Wake, basi Allah Mtukufu Ndiye Mkwasi wa kutowahitajia waja Wake, Ndiye Mwenye kuhimidiwa kwa dhati Yake na sifa Zake, Ndiye Mwenye kushukuriwa kwa namna zote. info
التفاسير: |
prev

Al-Mumtahanah

next
:
0:00 0:00