Check out the new design

《古兰经》译解 - 斯瓦希里语翻译 - 拉瓦德翻译中心。 * - 译解目录


含义的翻译 章: 法提哈   段:

Al-Fatihah

بِسۡمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحۡمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ
Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu.
阿拉伯语经注:
ٱلۡحَمۡدُ لِلَّهِ رَبِّ ٱلۡعَٰلَمِينَ
Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa walimwengu.[1]
[1] Mola Mlezi ni yule anayewalea walimwengu wote. Nao walimwengu ni kila kisichokuwa Mwenyezi Mungu.
阿拉伯语经注:
ٱلرَّحۡمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ
Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu.[1]
[1] Katika misingi waliyokubaliana juu yake watangulizi wema wa umma huu na maimamu wake ni kuamini kwamba Mwenyezi Mungu ana majina na sifa nzuri nzuri.
阿拉伯语经注:
مَٰلِكِ يَوۡمِ ٱلدِّينِ
Mmiliki wa Siku ya Malipo.
阿拉伯语经注:
إِيَّاكَ نَعۡبُدُ وَإِيَّاكَ نَسۡتَعِينُ
Ni Wewe tu tunayeabudu, na ni Wewe tu tunayeomba msaada.
阿拉伯语经注:
ٱهۡدِنَا ٱلصِّرَٰطَ ٱلۡمُسۡتَقِيمَ
Tuongoe kwenye njia iliyonyooka.
阿拉伯语经注:
صِرَٰطَ ٱلَّذِينَ أَنۡعَمۡتَ عَلَيۡهِمۡ غَيۡرِ ٱلۡمَغۡضُوبِ عَلَيۡهِمۡ وَلَا ٱلضَّآلِّينَ
Njia ya wale uliowaneemesha. Siyo ya wale waliokasirikiwa, wala waliopotea.
阿拉伯语经注:
 
含义的翻译 章: 法提哈
章节目录 页码
 
《古兰经》译解 - 斯瓦希里语翻译 - 拉瓦德翻译中心。 - 译解目录

由拉瓦德翻译中心团队与拉布瓦 الدعوة协会和伊斯兰内容服务协会合作翻译。

关闭