Traducción de los significados del Sagrado Corán - Traducción al idioma swahili- Abdullah Mohamad y Naser Jamis * - Índice de traducciones


Traducción de significados Capítulo: Sura Ash-Sharh   Versículo:

Surat Ash-Sharh

أَلَمۡ نَشۡرَحۡ لَكَ صَدۡرَكَ
Kwani Hatukukunjulia, ewe Mtume, kifua chako kwa sheria za Dini, kulingania watu kwa Mwenyezi Mungu na kujipamba kwa tabia nzuri,
Las Exégesis Árabes:
وَوَضَعۡنَا عَنكَ وِزۡرَكَ
Tukakuondolea mazito yako yaliyoemea mgongo wako
Las Exégesis Árabes:
ٱلَّذِيٓ أَنقَضَ ظَهۡرَكَ
na Tukakuweka, kwa matukufu Tuliyokuneemesha,
Las Exégesis Árabes:
وَرَفَعۡنَا لَكَ ذِكۡرَكَ
kwenye cheo cha juu?
Las Exégesis Árabes:
فَإِنَّ مَعَ ٱلۡعُسۡرِ يُسۡرًا
Usirudi nyuma katika kueneza ujumbe uliotumwa nao kwa makero ya maadui zako. Kwani kwenye dhiki kuna faraji.
Las Exégesis Árabes:
إِنَّ مَعَ ٱلۡعُسۡرِ يُسۡرٗا
Hakika kwenye dhiki kuna faraji.
Las Exégesis Árabes:
فَإِذَا فَرَغۡتَ فَٱنصَبۡ
Basi utakapomaliza mambo ya kidunia na shughuli zake jipinde kwa kufanya ibada.
Las Exégesis Árabes:
وَإِلَىٰ رَبِّكَ فَٱرۡغَب
Na kwa Mola wako Peke Yake weka matumaini yako.
Las Exégesis Árabes:
 
Traducción de significados Capítulo: Sura Ash-Sharh
Índice de Capítulos Número de página
 
Traducción de los significados del Sagrado Corán - Traducción al idioma swahili- Abdullah Mohamad y Naser Jamis - Índice de traducciones

Traducción del significado del Noble Corán al suajili por el Dr. Abdalla Mohamed Abubakar y Nassor Khamis

Cerrar