《古兰经》译解 - 斯瓦希里语翻译 - 阿布杜拉·穆罕默德和纳赛尔·海米斯。 * - 译解目录


含义的翻译 章: 舍拉哈   段:

Surat Ash-Sharh

أَلَمۡ نَشۡرَحۡ لَكَ صَدۡرَكَ
Kwani Hatukukunjulia, ewe Mtume, kifua chako kwa sheria za Dini, kulingania watu kwa Mwenyezi Mungu na kujipamba kwa tabia nzuri,
阿拉伯语经注:
وَوَضَعۡنَا عَنكَ وِزۡرَكَ
Tukakuondolea mazito yako yaliyoemea mgongo wako
阿拉伯语经注:
ٱلَّذِيٓ أَنقَضَ ظَهۡرَكَ
na Tukakuweka, kwa matukufu Tuliyokuneemesha,
阿拉伯语经注:
وَرَفَعۡنَا لَكَ ذِكۡرَكَ
kwenye cheo cha juu?
阿拉伯语经注:
فَإِنَّ مَعَ ٱلۡعُسۡرِ يُسۡرًا
Usirudi nyuma katika kueneza ujumbe uliotumwa nao kwa makero ya maadui zako. Kwani kwenye dhiki kuna faraji.
阿拉伯语经注:
إِنَّ مَعَ ٱلۡعُسۡرِ يُسۡرٗا
Hakika kwenye dhiki kuna faraji.
阿拉伯语经注:
فَإِذَا فَرَغۡتَ فَٱنصَبۡ
Basi utakapomaliza mambo ya kidunia na shughuli zake jipinde kwa kufanya ibada.
阿拉伯语经注:
وَإِلَىٰ رَبِّكَ فَٱرۡغَب
Na kwa Mola wako Peke Yake weka matumaini yako.
阿拉伯语经注:
 
含义的翻译 章: 舍拉哈
章节目录 页码
 
《古兰经》译解 - 斯瓦希里语翻译 - 阿布杜拉·穆罕默德和纳赛尔·海米斯。 - 译解目录

古兰经斯瓦希里文译解,阿布杜拉·穆罕默德·艾布·拜克尔博士和谢赫纳赛尔·哈米斯翻译。

关闭