Fassarar Ma'anonin Alqura'ni - Fassara da yaren Sawahili - Abdullah Muhammad da Nasir Khamis * - Teburin Bayani kan wasu Fassarori


Fassarar Ma'anoni Sura: Suratu Al'ikhlas   Aya:

Surat Al-Ikhlas

قُلۡ هُوَ ٱللَّهُ أَحَدٌ
Sema, ewe Mtume, «Yeye Ndiye Mwenyezi Mungu Aliyepwekeka kwa ustahiki wa kuabudiwa, uumbaji na utakatifu wa Majina na Sifa, Asiye na mshirika katika hayo.
Tafsiran larabci:
ٱللَّهُ ٱلصَّمَدُ
«Mwenyezi Mungu Ambaye Peke Yake Ndiye Mwenye kukusudiwa kwa kukidhi haja na matakwa.
Tafsiran larabci:
لَمۡ يَلِدۡ وَلَمۡ يُولَدۡ
«Hana mwana wala mzazi wala mke.
Tafsiran larabci:
وَلَمۡ يَكُن لَّهُۥ كُفُوًا أَحَدُۢ
«Wala hakuna yoyote katika viumbe Vyake mwenye kufanana wala kushabihiyana na Yeye katika Majina Yake, Sifa Zake wala vitendo Vyake.»
Tafsiran larabci:
 
Fassarar Ma'anoni Sura: Suratu Al'ikhlas
Teburin Jerin Sunayen Surori Lambar shafi
 
Fassarar Ma'anonin Alqura'ni - Fassara da yaren Sawahili - Abdullah Muhammad da Nasir Khamis - Teburin Bayani kan wasu Fassarori

ترجمة معاني القرآن الكريم إلى اللغة السواحلية، ترجمها الدكتور عبد الله محمد أبو بكر والشيخ ناصر خميس.

Rufewa