Terjemahan makna Alquran Alkarim - Terjemahan Berbahasa Sawahili - Abdullah Muhammad dan Nasir Khamis * - Daftar isi terjemahan


Terjemahan makna Surah: Surah An-Nās   Ayah:

Surat An-Nas

قُلۡ أَعُوذُ بِرَبِّ ٱلنَّاسِ
Sema, ewe Mtume, «Ninajilinda na kutaka hifadhi kwa Bwana wa watu, Mwenye uweza, Peke Yake, wa kulirudisha shari lao.
Tafsir berbahasa Arab:
مَلِكِ ٱلنَّاسِ
«Mfalme wa watu, Mwenye kupeleka mambo yao yote Anavyotaka, Aliye Mkwasi kutowahitajia.
Tafsir berbahasa Arab:
إِلَٰهِ ٱلنَّاسِ
«Mola wa watu, Ambaye hapana mwenye kuabudiwa kwa haki isipokuwa Yeye.
Tafsir berbahasa Arab:
مِن شَرِّ ٱلۡوَسۡوَاسِ ٱلۡخَنَّاسِ
«Kutokana na udhia wa shetani ambaye hutia watu wasiwasi wanapoghafilika na hujificha atajwapo Mwenyezi Mungu.
Tafsir berbahasa Arab:
ٱلَّذِي يُوَسۡوِسُ فِي صُدُورِ ٱلنَّاسِ
«Mwenye kupenyeza shari na shaka kwenye vifua vya watu.
Tafsir berbahasa Arab:
مِنَ ٱلۡجِنَّةِ وَٱلنَّاسِ
«Miongoni mwa mashetani wa kijini na kibinadamu.»
Tafsir berbahasa Arab:
 
Terjemahan makna Surah: Surah An-Nās
Daftar surah Nomor Halaman
 
Terjemahan makna Alquran Alkarim - Terjemahan Berbahasa Sawahili - Abdullah Muhammad dan Nasir Khamis - Daftar isi terjemahan

Terjemahan makna Al-Qur`ān Al-Karīm ke bahasa Sawahili oleh Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakar dan Syekh Nasir Khamis

Tutup