Prijevod značenja časnog Kur'ana - الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس * - Sadržaj prijevodā


Prijevod značenja Sura: Sura en-Nas   Ajet:

Surat An-Nas

قُلۡ أَعُوذُ بِرَبِّ ٱلنَّاسِ
Sema, ewe Mtume, «Ninajilinda na kutaka hifadhi kwa Bwana wa watu, Mwenye uweza, Peke Yake, wa kulirudisha shari lao.
Tefsiri na arapskom jeziku:
مَلِكِ ٱلنَّاسِ
«Mfalme wa watu, Mwenye kupeleka mambo yao yote Anavyotaka, Aliye Mkwasi kutowahitajia.
Tefsiri na arapskom jeziku:
إِلَٰهِ ٱلنَّاسِ
«Mola wa watu, Ambaye hapana mwenye kuabudiwa kwa haki isipokuwa Yeye.
Tefsiri na arapskom jeziku:
مِن شَرِّ ٱلۡوَسۡوَاسِ ٱلۡخَنَّاسِ
«Kutokana na udhia wa shetani ambaye hutia watu wasiwasi wanapoghafilika na hujificha atajwapo Mwenyezi Mungu.
Tefsiri na arapskom jeziku:
ٱلَّذِي يُوَسۡوِسُ فِي صُدُورِ ٱلنَّاسِ
«Mwenye kupenyeza shari na shaka kwenye vifua vya watu.
Tefsiri na arapskom jeziku:
مِنَ ٱلۡجِنَّةِ وَٱلنَّاسِ
«Miongoni mwa mashetani wa kijini na kibinadamu.»
Tefsiri na arapskom jeziku:
 
Prijevod značenja Sura: Sura en-Nas
Indeks sura Broj stranice
 
Prijevod značenja časnog Kur'ana - الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس - Sadržaj prijevodā

ترجمة معاني القرآن الكريم إلى اللغة السواحلية، ترجمها الدكتور عبد الله محمد أبو بكر والشيخ ناصر خميس.

Zatvaranje