Prijevod značenja časnog Kur'ana - الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس * - Sadržaj prijevodā


Prijevod značenja Sura: Sura el-Felek   Ajet:

Surat Al-Falaq

قُلۡ أَعُوذُ بِرَبِّ ٱلۡفَلَقِ
Sema, ewe Mtume, «Najilinda na kutaka hifadhi kwa Bwana wa asubuhi.
Tefsiri na arapskom jeziku:
مِن شَرِّ مَا خَلَقَ
«Kutokana na shari la viumbe na udhia wao
Tefsiri na arapskom jeziku:
وَمِن شَرِّ غَاسِقٍ إِذَا وَقَبَ
«Na shari la usiku wenye giza lingi ungiapo na ujikitapo na mashari na maudhi mbalimbali yaliyomo ndani yake.
Tefsiri na arapskom jeziku:
وَمِن شَرِّ ٱلنَّفَّٰثَٰتِ فِي ٱلۡعُقَدِ
«Na shari la wchawi wenye kupuliza kwenye mafundo wanayoyafunga kwa lengo la kuroga.
Tefsiri na arapskom jeziku:
وَمِن شَرِّ حَاسِدٍ إِذَا حَسَدَ
«Na shari la hasidi mwenye kutukia watu, anapowahusudu na kuwadhuru, kwa kutaka neema za Mwenyezi Mungu Aliyewaneemesha ziwaondokee.»
Tefsiri na arapskom jeziku:
 
Prijevod značenja Sura: Sura el-Felek
Indeks sura Broj stranice
 
Prijevod značenja časnog Kur'ana - الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس - Sadržaj prijevodā

ترجمة معاني القرآن الكريم إلى اللغة السواحلية، ترجمها الدكتور عبد الله محمد أبو بكر والشيخ ناصر خميس.

Zatvaranje