Check out the new design

Traduction des sens du Noble Coran - La traduction swahili - 'Abd Allah Muhammad et Nâsir Khamîs * - Lexique des traductions


Traduction des sens Sourate: Al Falaq   Verset:

Al-Falaq

قُلۡ أَعُوذُ بِرَبِّ ٱلۡفَلَقِ
Sema, ewe Mtume, «Najilinda na kutaka hifadhi kwa Bwana wa asubuhi.
Les exégèses en arabe:
مِن شَرِّ مَا خَلَقَ
«Kutokana na shari la viumbe na udhia wao
Les exégèses en arabe:
وَمِن شَرِّ غَاسِقٍ إِذَا وَقَبَ
«Na shari la usiku wenye giza lingi ungiapo na ujikitapo na mashari na maudhi mbalimbali yaliyomo ndani yake.
Les exégèses en arabe:
وَمِن شَرِّ ٱلنَّفَّٰثَٰتِ فِي ٱلۡعُقَدِ
«Na shari la wchawi wenye kupuliza kwenye mafundo wanayoyafunga kwa lengo la kuroga.
Les exégèses en arabe:
وَمِن شَرِّ حَاسِدٍ إِذَا حَسَدَ
«Na shari la hasidi mwenye kutukia watu, anapowahusudu na kuwadhuru, kwa kutaka neema za Mwenyezi Mungu Aliyewaneemesha ziwaondokee.»
Les exégèses en arabe:
 
Traduction des sens Sourate: Al Falaq
Lexique des sourates Numéro de la page
 
Traduction des sens du Noble Coran - La traduction swahili - 'Abd Allah Muhammad et Nâsir Khamîs - Lexique des traductions

Traduit par le Dr. 'Abd Allah Muhammad Abû Bakr et Cheikh Nâsir Khamîs.

Fermeture