Kilniojo Korano reikšmių vertimas - Suahilių k. vertimas - Ali Muchsen Al-Beruany * - Vertimų turinys

XML CSV Excel API
Please review the Terms and Policies

Reikšmių vertimas Sūra: Sūra Al-Kausar   Aja (Korano eilutė):

Surat Al-Kauthar

إِنَّآ أَعۡطَيۡنَٰكَ ٱلۡكَوۡثَرَ
Hakika tumekupa kheri nyingi.
Sisi hakika tumekupa kheri nyingi za daima katika dunia na Akhera.
Tafsyrai arabų kalba:
فَصَلِّ لِرَبِّكَ وَٱنۡحَرۡ
Basi swali na uchinje kwa ajili ya Mola wako Mlezi.
Ilivyo kuwa umepewa hayo, basi dumisha Swala kwa Mola wako Mlezi kwa usafi kabisa, na uchinje dhabihu wako kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa aliyo kupa ya ukarimu, na akakukhusisha wewe khasa kwa kukupa kheri.
Tafsyrai arabų kalba:
إِنَّ شَانِئَكَ هُوَ ٱلۡأَبۡتَرُ
Hakika anaye kuchukia ndiye aliye mpungufu.
Hakika huyo anaye kuchukia ndiye aliye katika na kila kheri.
Tafsyrai arabų kalba:
 
Reikšmių vertimas Sūra: Sūra Al-Kausar
Sūrų turinys Puslapio numeris
 
Kilniojo Korano reikšmių vertimas - Suahilių k. vertimas - Ali Muchsen Al-Beruany - Vertimų turinys

Kilniojo Korano reikšmių vertimas į suahilių k., išvertė Ali Muchsin Al-Birvany.

Uždaryti