5 : 60

رَبَّنَا لَا تَجۡعَلۡنَا فِتۡنَةٗ لِّلَّذِينَ كَفَرُواْ وَٱغۡفِرۡ لَنَا رَبَّنَآۖ إِنَّكَ أَنتَ ٱلۡعَزِيزُ ٱلۡحَكِيمُ

Mola wetu! Usitufanye ni mtihani wenye kuwanufaisha waliokukanusha, kwa kutuadhibu au kuwapa nguvu makafiri juu yetu, wakatufitini kwa kutuepusha na Dini yetu, au wakawa na nguvu juu yetu wakafitinika kwa hilo, na hapo waseme, «Lau hawa wangekua kwenye haki isingewapata adhabu hii,» na hapo wakazidisha ukafiri. Na utustirie dhambi zetu kwa kutusamehe, ewe Mola wetu! Hakika wewe ni Mshindi Asiyekuwa na mwenye kushindana Naye, Mwingi wa hekima katika maneno Yake na matendo Yake. info
التفاسير: |
prev

Al-Mumtahanah

next
:
0:00 0:00