Kur'an-ı Kerim meal tercümesi - الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس * - Mealler fihristi


Anlam tercümesi Sure: Sûretu'l-Humezeh   Ayet:

Surat Al-Humazah

وَيۡلٞ لِّكُلِّ هُمَزَةٖ لُّمَزَةٍ
Shari na maangamivu yatampata kila mwenye kusengenya watu na kuwatukana.
Arapça tefsirler:
ٱلَّذِي جَمَعَ مَالٗا وَعَدَّدَهُۥ
Ambaye hamu yake ni kukusanya mali na kuyahesabu.
Arapça tefsirler:
يَحۡسَبُ أَنَّ مَالَهُۥٓ أَخۡلَدَهُۥ
Akidhani kuwa mali yake ambayo ameyakusanya yatampa dhamana ya kuishi milele duniani na kuhepa kuhesabiwa.
Arapça tefsirler:
كَلَّاۖ لَيُنۢبَذَنَّ فِي ٱلۡحُطَمَةِ
Anavyodhania sivyo. Atatiwa ndani ya Moto ambao huvunjavunja kila kinachotiwa.
Arapça tefsirler:
وَمَآ أَدۡرَىٰكَ مَا ٱلۡحُطَمَةُ
Lipi lililokujulisha, ewe Mtume, ni upi huo Moto unaovunjavunja?
Arapça tefsirler:
نَارُ ٱللَّهِ ٱلۡمُوقَدَةُ
Huo ni Moto wa Mwenyezi Mungu uliowashwa.
Arapça tefsirler:
ٱلَّتِي تَطَّلِعُ عَلَى ٱلۡأَفۡـِٔدَةِ
Ambao kwa ukali wake hupenyeza miilini ukafikia kwenye nyoyo.
Arapça tefsirler:
إِنَّهَا عَلَيۡهِم مُّؤۡصَدَةٞ
Moto huo umefungiwa juu yao wakiwa wametiwa minyororo
Arapça tefsirler:
فِي عَمَدٖ مُّمَدَّدَةِۭ
na pingu ndefu ili wasitoke.
Arapça tefsirler:
 
Anlam tercümesi Sure: Sûretu'l-Humezeh
Surelerin fihristi Sayfa numarası
 
Kur'an-ı Kerim meal tercümesi - الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس - Mealler fihristi

ترجمة معاني القرآن الكريم إلى اللغة السواحلية، ترجمها الدكتور عبد الله محمد أبو بكر والشيخ ناصر خميس.

Kapat