《古兰经》译解 - 斯瓦希里语翻译 - 阿布杜拉·穆罕默德和纳赛尔·海米斯。 * - 译解目录


含义的翻译 章: 哈姆宰   段:

Surat Al-Humazah

وَيۡلٞ لِّكُلِّ هُمَزَةٖ لُّمَزَةٍ
Shari na maangamivu yatampata kila mwenye kusengenya watu na kuwatukana.
阿拉伯语经注:
ٱلَّذِي جَمَعَ مَالٗا وَعَدَّدَهُۥ
Ambaye hamu yake ni kukusanya mali na kuyahesabu.
阿拉伯语经注:
يَحۡسَبُ أَنَّ مَالَهُۥٓ أَخۡلَدَهُۥ
Akidhani kuwa mali yake ambayo ameyakusanya yatampa dhamana ya kuishi milele duniani na kuhepa kuhesabiwa.
阿拉伯语经注:
كَلَّاۖ لَيُنۢبَذَنَّ فِي ٱلۡحُطَمَةِ
Anavyodhania sivyo. Atatiwa ndani ya Moto ambao huvunjavunja kila kinachotiwa.
阿拉伯语经注:
وَمَآ أَدۡرَىٰكَ مَا ٱلۡحُطَمَةُ
Lipi lililokujulisha, ewe Mtume, ni upi huo Moto unaovunjavunja?
阿拉伯语经注:
نَارُ ٱللَّهِ ٱلۡمُوقَدَةُ
Huo ni Moto wa Mwenyezi Mungu uliowashwa.
阿拉伯语经注:
ٱلَّتِي تَطَّلِعُ عَلَى ٱلۡأَفۡـِٔدَةِ
Ambao kwa ukali wake hupenyeza miilini ukafikia kwenye nyoyo.
阿拉伯语经注:
إِنَّهَا عَلَيۡهِم مُّؤۡصَدَةٞ
Moto huo umefungiwa juu yao wakiwa wametiwa minyororo
阿拉伯语经注:
فِي عَمَدٖ مُّمَدَّدَةِۭ
na pingu ndefu ili wasitoke.
阿拉伯语经注:
 
含义的翻译 章: 哈姆宰
章节目录 页码
 
《古兰经》译解 - 斯瓦希里语翻译 - 阿布杜拉·穆罕默德和纳赛尔·海米斯。 - 译解目录

古兰经斯瓦希里文译解,阿布杜拉·穆罕默德·艾布·拜克尔博士和谢赫纳赛尔·哈米斯翻译。

关闭