Kur'an-ı Kerim meal tercümesi - الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس * - Mealler fihristi


Anlam tercümesi Sure: Sûretu'l-Felak   Ayet:

Surat Al-Falaq

قُلۡ أَعُوذُ بِرَبِّ ٱلۡفَلَقِ
Sema, ewe Mtume, «Najilinda na kutaka hifadhi kwa Bwana wa asubuhi.
Arapça tefsirler:
مِن شَرِّ مَا خَلَقَ
«Kutokana na shari la viumbe na udhia wao
Arapça tefsirler:
وَمِن شَرِّ غَاسِقٍ إِذَا وَقَبَ
«Na shari la usiku wenye giza lingi ungiapo na ujikitapo na mashari na maudhi mbalimbali yaliyomo ndani yake.
Arapça tefsirler:
وَمِن شَرِّ ٱلنَّفَّٰثَٰتِ فِي ٱلۡعُقَدِ
«Na shari la wchawi wenye kupuliza kwenye mafundo wanayoyafunga kwa lengo la kuroga.
Arapça tefsirler:
وَمِن شَرِّ حَاسِدٍ إِذَا حَسَدَ
«Na shari la hasidi mwenye kutukia watu, anapowahusudu na kuwadhuru, kwa kutaka neema za Mwenyezi Mungu Aliyewaneemesha ziwaondokee.»
Arapça tefsirler:
 
Anlam tercümesi Sure: Sûretu'l-Felak
Surelerin fihristi Sayfa numarası
 
Kur'an-ı Kerim meal tercümesi - الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس - Mealler fihristi

ترجمة معاني القرآن الكريم إلى اللغة السواحلية، ترجمها الدكتور عبد الله محمد أبو بكر والشيخ ناصر خميس.

Kapat