Қуръони Карим маъноларининг таржимаси - Swahili translation - Abdalla Mohamed Abubakar and Nassor Khamis Abdurahman * - Характеристикалар мундарижаси


Маънолар таржимаси Сура: Quraysh surasi   Оят:

Surat Quraish

لِإِيلَٰفِ قُرَيۡشٍ
Oneni ajabu ya mazowea ya Makureshi, amani walionayo, kuwaendea uzuri mambo yao,
Арабча тафсирлар:
إِۦلَٰفِهِمۡ رِحۡلَةَ ٱلشِّتَآءِ وَٱلصَّيۡفِ
kupangika na kusahilika misafara yao ya kwenda Yamani kipindi cha kusi na kwenda Shamu kipindi cha kaskazi, ili kuleta vitu wanavyohitajia.
Арабча тафсирлар:
فَلۡيَعۡبُدُواْ رَبَّ هَٰذَا ٱلۡبَيۡتِ
Basi, wamshukuru na kumuabudu Bwana wa Nyumba hii ya Alkaba, Ambaye kwa ajili Yake wametukuzwa, na wampwekeshe na kumtakasia ibada.
Арабча тафсирлар:
ٱلَّذِيٓ أَطۡعَمَهُم مِّن جُوعٖ وَءَامَنَهُم مِّنۡ خَوۡفِۭ
Ambaye Amewapa wao chakula wakati wa njaa kali na akawapa amani na utulivu kutokana na kicho kikubwa na babaiko.
Арабча тафсирлар:
 
Маънолар таржимаси Сура: Quraysh surasi
Суралар мундарижаси Бет рақами
 
Қуръони Карим маъноларининг таржимаси - Swahili translation - Abdalla Mohamed Abubakar and Nassor Khamis Abdurahman - Характеристикалар мундарижаси

Translation of the Quran meaning into Swahili by Dr. Abdalla Mohamed Abubakar and Nassor Khamis

Ёпиш