क़ुरआन के अर्थों का अनुवाद - स्वाहीली अनुवाद - अब्दुल्लाह मुहम्मद तथा नासिर ख़मीस * - अनुवादों की सूची


अर्थों का अनुवाद सूरा: सूरा अल्-काफ़िरून   आयत:

Surat Al-Kafirun

قُلۡ يَٰٓأَيُّهَا ٱلۡكَٰفِرُونَ
Sema, ewe Mtume, kuwaambia waliokufuru Mwenyezi Mungu na Mtume wake: «Enyi wenye kumkanusha Mwenyezi Mungu!
अरबी तफ़सीरें:
لَآ أَعۡبُدُ مَا تَعۡبُدُونَ
«Mimi siabudu mnavyoviabudu miongoni mwa masanamu na waungu wa urongo.
अरबी तफ़सीरें:
وَلَآ أَنتُمۡ عَٰبِدُونَ مَآ أَعۡبُدُ
«Wala nyinyi si wenye kuabudu Mola Mmoja ninayemuabudu Ambaye ndiye Anayestahiki kuabudiwa.
अरबी तफ़सीरें:
وَلَآ أَنَا۠ عَابِدٞ مَّا عَبَدتُّمۡ
«Wala mimi si mwenye kuabudu mnavyoviabudu miongoni mwa masanamu na waungu wa urongo.
अरबी तफ़सीरें:
وَلَآ أَنتُمۡ عَٰبِدُونَ مَآ أَعۡبُدُ
«Wala nyinyi si wenye kuabudu mbeleni ninayemuabudu.» Aya hii imeteremka juu ya watu makhsusi miongoni mwa washirikina ambao Mwenyezi Mungu Alijua kuwa hawataamini kabisa.
अरबी तफ़सीरें:
لَكُمۡ دِينُكُمۡ وَلِيَ دِينِ
«Nyinyi mna dini yenu mnayoiamini na mimi nina Dini yangu ambayo sitaki nyingine.»
अरबी तफ़सीरें:
 
अर्थों का अनुवाद सूरा: सूरा अल्-काफ़िरून
सूरों की सूची पृष्ठ संख्या
 
क़ुरआन के अर्थों का अनुवाद - स्वाहीली अनुवाद - अब्दुल्लाह मुहम्मद तथा नासिर ख़मीस - अनुवादों की सूची

पवित्र क़ुरआन के अर्थों का सवाहिली अनुवाद, अनुवादक : डॉ. अब्दुल्लाह मुहम्मद अबू बक्र तथा शैख़ नासिर ख़मीस

बंद करें