કુરઆન મજીદના શબ્દોનું ભાષાંતર - સ્વાહિલી ભાષામાં અનુવાદ - અબ્દુલ્લાહ મુહમ્મદ અને નાસિર ખમીસ

પૃષ્ઠ નંબર:close

external-link copy
23 : 88

إِلَّا مَن تَوَلَّىٰ وَكَفَرَ

Lakini yule mwenye kuyapa mgongo makumbusho na mawaidha na akawa mkakamavu kwenye ukafiri wake, info
التفاسير: |

external-link copy
24 : 88

فَيُعَذِّبُهُ ٱللَّهُ ٱلۡعَذَابَ ٱلۡأَكۡبَرَ

Mwenyezi Mungu Atamuadhibu adhabu kali Motoni. info
التفاسير: |

external-link copy
25 : 88

إِنَّ إِلَيۡنَآ إِيَابَهُمۡ

Hakika wao watarudi kwetu baada ya kufa. info
التفاسير: |

external-link copy
26 : 88

ثُمَّ إِنَّ عَلَيۡنَا حِسَابَهُم

Kisha ni juu yetu kuwalipa kwa waliyoyafanya. info
التفاسير: |