Check out the new design

Salin ng mga Kahulugan ng Marangal na Qur'an - Salin sa Wikang Swahili nina Abdullah Muhammad at Nasir Khamis * - Indise ng mga Salin


Salin ng mga Kahulugan Surah: Al-Qāri‘ah   Ayah:

Al-Qari'ah

ٱلۡقَارِعَةُ
Kiyama chenye kugonga nyoyo za watu kwa vituko vyake.
Ang mga Tafsir na Arabe:
مَا ٱلۡقَارِعَةُ
Ni kitu gani hiko chenye kugonga?
Ang mga Tafsir na Arabe:
وَمَآ أَدۡرَىٰكَ مَا ٱلۡقَارِعَةُ
Na ni lipi lililokujulisha ni kipi hiko chenye kugonga?
Ang mga Tafsir na Arabe:
يَوۡمَ يَكُونُ ٱلنَّاسُ كَٱلۡفَرَاشِ ٱلۡمَبۡثُوثِ
Siku hiyo watu watakuwa , kwa wingi wao, kugawanyika kwao na kuzunguka kwao, ni kama pandzi walioenea. Nao ni wale wanaojitupa motoni.
Ang mga Tafsir na Arabe:
وَتَكُونُ ٱلۡجِبَالُ كَٱلۡعِهۡنِ ٱلۡمَنفُوشِ
Na majabali yatakuwa ni kama pamba yenye rangi tofauti inayochambuliwa kwa mkono ikawa ni mapepe na ikamalizika.
Ang mga Tafsir na Arabe:
فَأَمَّا مَن ثَقُلَتۡ مَوَٰزِينُهُۥ
Basi mwenye kuwa mizani za mema yake ni nzito,
Ang mga Tafsir na Arabe:
فَهُوَ فِي عِيشَةٖ رَّاضِيَةٖ
atakuwa kwenye maisha ya kuridhika Peponi.
Ang mga Tafsir na Arabe:
وَأَمَّا مَنۡ خَفَّتۡ مَوَٰزِينُهُۥ
Ama mwenye kuwa mizani za mema yake ni nyepesi na mizani za maovu yake ni nzito,
Ang mga Tafsir na Arabe:
فَأُمُّهُۥ هَاوِيَةٞ
makazi yake yatakuwa ni Moto wa Jahanamu.
Ang mga Tafsir na Arabe:
وَمَآ أَدۡرَىٰكَ مَا هِيَهۡ
Ni lipi lililokujulisha, ewe Mtume, ni ipi hii Jahanamu inayoitwa «Hāwiyah»?
Ang mga Tafsir na Arabe:
نَارٌ حَامِيَةُۢ
Ni Moto unaowaka sana kwa kuni ziliomo ndani yake.
Ang mga Tafsir na Arabe:
 
Salin ng mga Kahulugan Surah: Al-Qāri‘ah
Indise ng mga Surah Numero ng Pahina
 
Salin ng mga Kahulugan ng Marangal na Qur'an - Salin sa Wikang Swahili nina Abdullah Muhammad at Nasir Khamis - Indise ng mga Salin

Isinalin ito nina Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr at Sheikh Nasir Khamis.

Isara