Salin ng mga Kahulugan ng Marangal na Qur'an - Salin sa Wikang Swahili nina Abdullah Muhammad at Nasir Khamis * - Indise ng mga Salin


Salin ng mga Kahulugan Surah: Al-Qāri‘ah   Ayah:

Surat Al-Qari'ah

ٱلۡقَارِعَةُ
Kiyama chenye kugonga nyoyo za watu kwa vituko vyake.
Ang mga Tafsir na Arabe:
مَا ٱلۡقَارِعَةُ
Ni kitu gani hiko chenye kugonga?
Ang mga Tafsir na Arabe:
وَمَآ أَدۡرَىٰكَ مَا ٱلۡقَارِعَةُ
Na ni lipi lililokujulisha ni kipi hiko chenye kugonga?
Ang mga Tafsir na Arabe:
يَوۡمَ يَكُونُ ٱلنَّاسُ كَٱلۡفَرَاشِ ٱلۡمَبۡثُوثِ
Siku hiyo watu watakuwa , kwa wingi wao, kugawanyika kwao na kuzunguka kwao, ni kama pandzi walioenea. Nao ni wale wanaojitupa motoni.
Ang mga Tafsir na Arabe:
وَتَكُونُ ٱلۡجِبَالُ كَٱلۡعِهۡنِ ٱلۡمَنفُوشِ
Na majabali yatakuwa ni kama pamba yenye rangi tofauti inayochambuliwa kwa mkono ikawa ni mapepe na ikamalizika.
Ang mga Tafsir na Arabe:
فَأَمَّا مَن ثَقُلَتۡ مَوَٰزِينُهُۥ
Basi mwenye kuwa mizani za mema yake ni nzito,
Ang mga Tafsir na Arabe:
فَهُوَ فِي عِيشَةٖ رَّاضِيَةٖ
atakuwa kwenye maisha ya kuridhika Peponi.
Ang mga Tafsir na Arabe:
وَأَمَّا مَنۡ خَفَّتۡ مَوَٰزِينُهُۥ
Ama mwenye kuwa mizani za mema yake ni nyepesi na mizani za maovu yake ni nzito,
Ang mga Tafsir na Arabe:
فَأُمُّهُۥ هَاوِيَةٞ
makazi yake yatakuwa ni Moto wa Jahanamu.
Ang mga Tafsir na Arabe:
وَمَآ أَدۡرَىٰكَ مَا هِيَهۡ
Ni lipi lililokujulisha, ewe Mtume, ni ipi hii Jahanamu inayoitwa «Hāwiyah»?
Ang mga Tafsir na Arabe:
نَارٌ حَامِيَةُۢ
Ni Moto unaowaka sana kwa kuni ziliomo ndani yake.
Ang mga Tafsir na Arabe:
 
Salin ng mga Kahulugan Surah: Al-Qāri‘ah
Indise ng mga Surah Numero ng Pahina
 
Salin ng mga Kahulugan ng Marangal na Qur'an - Salin sa Wikang Swahili nina Abdullah Muhammad at Nasir Khamis - Indise ng mga Salin

Salin ng mga Kahulugan ng Marangal na Qur'an sa Wikang Swahili. Isinalin ito nina Doktor Abdullah Muhammad Abu Bakr at Shaykh Nasir Khamis. Inilathala ito ng King Fahd Glorious Quran Printing Complex sa Madinah Munawwarah, imprenta ng taong 1435 H.

Isara