Übersetzung der Bedeutungen von dem heiligen Quran - الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس * - Übersetzungen


Übersetzung der Bedeutungen Surah / Kapitel: Al-Zalzalah   Vers:

Surat Az-Zalzalah

إِذَا زُلۡزِلَتِ ٱلۡأَرۡضُ زِلۡزَالَهَا
Itakapotikiswa ardhi mtikiso wa nguvu.
Arabische Interpretationen von dem heiligen Quran:
وَأَخۡرَجَتِ ٱلۡأَرۡضُ أَثۡقَالَهَا
Na ikatoa vilivyomo ndani yake: wafu na makandi.
Arabische Interpretationen von dem heiligen Quran:
وَقَالَ ٱلۡإِنسَٰنُ مَا لَهَا
Na akauliza binadamu, kwa babaiko, «Imezukiwa na nini?»
Arabische Interpretationen von dem heiligen Quran:
يَوۡمَئِذٖ تُحَدِّثُ أَخۡبَارَهَا
Siku ya Kiyama ardhi itatoa habari ya mambo iliyofanyiwa ya uzuri na ubaya.
Arabische Interpretationen von dem heiligen Quran:
بِأَنَّ رَبَّكَ أَوۡحَىٰ لَهَا
kwa kuwa Mwenyezi Mungu, Aliyetakasika na kutukuka, Ameiamuru itoe habari ya mambo iliyofanyiwa.
Arabische Interpretationen von dem heiligen Quran:
يَوۡمَئِذٖ يَصۡدُرُ ٱلنَّاسُ أَشۡتَاتٗا لِّيُرَوۡاْ أَعۡمَٰلَهُمۡ
Siku hiyo wataondoka kutoka kwenye kisimamo cha Hesabu wakiwa makundi, ili Mwenyezi Mungu Awaoneshe waliyoyatenda, mazuri na mabaya, na Awalipe kwayo.
Arabische Interpretationen von dem heiligen Quran:
فَمَن يَعۡمَلۡ مِثۡقَالَ ذَرَّةٍ خَيۡرٗا يَرَهُۥ
Yoyote mwenye kufanya jema wezani wa chungu mdogo atayaona malipo yake Akhera.
Arabische Interpretationen von dem heiligen Quran:
وَمَن يَعۡمَلۡ مِثۡقَالَ ذَرَّةٖ شَرّٗا يَرَهُۥ
Na yoyote mwenye kufanya baya wezani wa chungu mdogo atayaona malipo yake Akhera.
Arabische Interpretationen von dem heiligen Quran:
 
Übersetzung der Bedeutungen Surah / Kapitel: Al-Zalzalah
Suren/ Kapiteln Liste Nummer der Seite
 
Übersetzung der Bedeutungen von dem heiligen Quran - الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس - Übersetzungen

ترجمة معاني القرآن الكريم إلى اللغة السواحلية، ترجمها الدكتور عبد الله محمد أبو بكر والشيخ ناصر خميس.

Schließen