Check out the new design

قرآن کریم کے معانی کا ترجمہ - سواحلی ترجمہ - عبد اللہ محمد اور ناصر خمیس * - ترجمے کی لسٹ


معانی کا ترجمہ سورت: زلزلہ   آیت:

Az-Zalzalah

إِذَا زُلۡزِلَتِ ٱلۡأَرۡضُ زِلۡزَالَهَا
Itakapotikiswa ardhi mtikiso wa nguvu.
عربی تفاسیر:
وَأَخۡرَجَتِ ٱلۡأَرۡضُ أَثۡقَالَهَا
Na ikatoa vilivyomo ndani yake: wafu na makandi.
عربی تفاسیر:
وَقَالَ ٱلۡإِنسَٰنُ مَا لَهَا
Na akauliza binadamu, kwa babaiko, «Imezukiwa na nini?»
عربی تفاسیر:
يَوۡمَئِذٖ تُحَدِّثُ أَخۡبَارَهَا
Siku ya Kiyama ardhi itatoa habari ya mambo iliyofanyiwa ya uzuri na ubaya.
عربی تفاسیر:
بِأَنَّ رَبَّكَ أَوۡحَىٰ لَهَا
kwa kuwa Mwenyezi Mungu, Aliyetakasika na kutukuka, Ameiamuru itoe habari ya mambo iliyofanyiwa.
عربی تفاسیر:
يَوۡمَئِذٖ يَصۡدُرُ ٱلنَّاسُ أَشۡتَاتٗا لِّيُرَوۡاْ أَعۡمَٰلَهُمۡ
Siku hiyo wataondoka kutoka kwenye kisimamo cha Hesabu wakiwa makundi, ili Mwenyezi Mungu Awaoneshe waliyoyatenda, mazuri na mabaya, na Awalipe kwayo.
عربی تفاسیر:
فَمَن يَعۡمَلۡ مِثۡقَالَ ذَرَّةٍ خَيۡرٗا يَرَهُۥ
Yoyote mwenye kufanya jema wezani wa chungu mdogo atayaona malipo yake Akhera.
عربی تفاسیر:
وَمَن يَعۡمَلۡ مِثۡقَالَ ذَرَّةٖ شَرّٗا يَرَهُۥ
Na yoyote mwenye kufanya baya wezani wa chungu mdogo atayaona malipo yake Akhera.
عربی تفاسیر:
 
معانی کا ترجمہ سورت: زلزلہ
سورتوں کی لسٹ صفحہ نمبر
 
قرآن کریم کے معانی کا ترجمہ - سواحلی ترجمہ - عبد اللہ محمد اور ناصر خمیس - ترجمے کی لسٹ

ڈاکٹر عبد اللہ محمد ابو بکر اور شیخ ناصر خمیس نے ترجمہ کیا ہے۔

بند کریں