Traduzione dei Significati del Sacro Corano - Traduzione swahili - Abdullah Mohammed e Nasser Khamis * - Indice Traduzioni


Traduzione dei significati Sura: Al-Mâ‘ûn   Versetto:

Surat Al-Ma'un

أَرَءَيۡتَ ٱلَّذِي يُكَذِّبُ بِٱلدِّينِ
Je, waiona hali ya yule ambaye akanusha kufufuliwa na kulipwa?
Esegesi in lingua araba:
فَذَٰلِكَ ٱلَّذِي يَدُعُّ ٱلۡيَتِيمَ
Huyo ndiye yule anayemkaripia yatima kwa nguvu akimnyima haki yake kwa sababu ya ususuavu wa moyo wake.
Esegesi in lingua araba:
وَلَا يَحُضُّ عَلَىٰ طَعَامِ ٱلۡمِسۡكِينِ
Na wala hawahimizi wengine kulisha masikini. Vipi yeye mwenyewe atamlisha?.
Esegesi in lingua araba:
فَوَيۡلٞ لِّلۡمُصَلِّينَ
Basi adhabu kali itawafikia wenye kusali,
Esegesi in lingua araba:
ٱلَّذِينَ هُمۡ عَن صَلَاتِهِمۡ سَاهُونَ
ambao wameghafilika na Swala zao: hawazisimamishi kama ipasavyo wala hawazisali kwa nyakati zake.
Esegesi in lingua araba:
ٱلَّذِينَ هُمۡ يُرَآءُونَ
Ambao huonyesha watu amali zao za kheri kwa njia ya ria.
Esegesi in lingua araba:
وَيَمۡنَعُونَ ٱلۡمَاعُونَ
Na wanakataa kuwaazima watu vitu ambavyo hawadhuriki kwa kuviazima, kama vyombo vya kutumia na vinginevyo. Wao hawakujifanyia wema nafsi zao kumuabudu Mola wao wala hawakuwafanyia wema viumbe Vyake.
Esegesi in lingua araba:
 
Traduzione dei significati Sura: Al-Mâ‘ûn
Indice delle Sure Numero di pagina
 
Traduzione dei Significati del Sacro Corano - Traduzione swahili - Abdullah Mohammed e Nasser Khamis - Indice Traduzioni

Traduzione dei significati del Nobile Corano in swahili di Abdullah Mohammed ِAbu Bakr e Shaikh Nasser Khamis

Chiudi