Kilniojo Korano reikšmių vertimas - Suahilių k. vertimas - Abdullah Muchammed ir Naser Khamis * - Vertimų turinys


Reikšmių vertimas Sūra: Sūra Al-Maaʻūn   Aja (Korano eilutė):

Surat Al-Ma'un

أَرَءَيۡتَ ٱلَّذِي يُكَذِّبُ بِٱلدِّينِ
Je, waiona hali ya yule ambaye akanusha kufufuliwa na kulipwa?
Tafsyrai arabų kalba:
فَذَٰلِكَ ٱلَّذِي يَدُعُّ ٱلۡيَتِيمَ
Huyo ndiye yule anayemkaripia yatima kwa nguvu akimnyima haki yake kwa sababu ya ususuavu wa moyo wake.
Tafsyrai arabų kalba:
وَلَا يَحُضُّ عَلَىٰ طَعَامِ ٱلۡمِسۡكِينِ
Na wala hawahimizi wengine kulisha masikini. Vipi yeye mwenyewe atamlisha?.
Tafsyrai arabų kalba:
فَوَيۡلٞ لِّلۡمُصَلِّينَ
Basi adhabu kali itawafikia wenye kusali,
Tafsyrai arabų kalba:
ٱلَّذِينَ هُمۡ عَن صَلَاتِهِمۡ سَاهُونَ
ambao wameghafilika na Swala zao: hawazisimamishi kama ipasavyo wala hawazisali kwa nyakati zake.
Tafsyrai arabų kalba:
ٱلَّذِينَ هُمۡ يُرَآءُونَ
Ambao huonyesha watu amali zao za kheri kwa njia ya ria.
Tafsyrai arabų kalba:
وَيَمۡنَعُونَ ٱلۡمَاعُونَ
Na wanakataa kuwaazima watu vitu ambavyo hawadhuriki kwa kuviazima, kama vyombo vya kutumia na vinginevyo. Wao hawakujifanyia wema nafsi zao kumuabudu Mola wao wala hawakuwafanyia wema viumbe Vyake.
Tafsyrai arabų kalba:
 
Reikšmių vertimas Sūra: Sūra Al-Maaʻūn
Sūrų turinys Puslapio numeris
 
Kilniojo Korano reikšmių vertimas - Suahilių k. vertimas - Abdullah Muchammed ir Naser Khamis - Vertimų turinys

Kilniojo Korano reikšmių vertimas į suahilių k., išvertė Dr. Abdullah Muchammed Abu Bakr ir šeichas Naser Khamis.

Uždaryti