クルアーンの対訳 - スワヒリ語対訳 - Abdullah Muhammad and Nasir Khamis * - 対訳の目次


対訳 章: 慈善章   節:

Surat Al-Ma'un

أَرَءَيۡتَ ٱلَّذِي يُكَذِّبُ بِٱلدِّينِ
Je, waiona hali ya yule ambaye akanusha kufufuliwa na kulipwa?
アラビア語 クルアーン注釈:
فَذَٰلِكَ ٱلَّذِي يَدُعُّ ٱلۡيَتِيمَ
Huyo ndiye yule anayemkaripia yatima kwa nguvu akimnyima haki yake kwa sababu ya ususuavu wa moyo wake.
アラビア語 クルアーン注釈:
وَلَا يَحُضُّ عَلَىٰ طَعَامِ ٱلۡمِسۡكِينِ
Na wala hawahimizi wengine kulisha masikini. Vipi yeye mwenyewe atamlisha?.
アラビア語 クルアーン注釈:
فَوَيۡلٞ لِّلۡمُصَلِّينَ
Basi adhabu kali itawafikia wenye kusali,
アラビア語 クルアーン注釈:
ٱلَّذِينَ هُمۡ عَن صَلَاتِهِمۡ سَاهُونَ
ambao wameghafilika na Swala zao: hawazisimamishi kama ipasavyo wala hawazisali kwa nyakati zake.
アラビア語 クルアーン注釈:
ٱلَّذِينَ هُمۡ يُرَآءُونَ
Ambao huonyesha watu amali zao za kheri kwa njia ya ria.
アラビア語 クルアーン注釈:
وَيَمۡنَعُونَ ٱلۡمَاعُونَ
Na wanakataa kuwaazima watu vitu ambavyo hawadhuriki kwa kuviazima, kama vyombo vya kutumia na vinginevyo. Wao hawakujifanyia wema nafsi zao kumuabudu Mola wao wala hawakuwafanyia wema viumbe Vyake.
アラビア語 クルアーン注釈:
 
対訳 章: 慈善章
章名の目次 ページ番号
 
クルアーンの対訳 - スワヒリ語対訳 - Abdullah Muhammad and Nasir Khamis - 対訳の目次

クルアーン・スワヒリ語対訳 - Dr. Abdalla Mohamed Abubakar and Nassor Khamis

閉じる